Mshughulishaji
JF-Expert Member
- Sep 29, 2015
- 1,351
- 1,875
Hata hii ya hapa TUKUYU?Uyo mtu hata leo akitaka kununua hashindwi.
Huyo jamaa ndie Mmiliki wa LandMark Hotel zote zote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hii ya hapa TUKUYU?Uyo mtu hata leo akitaka kununua hashindwi.
Huyo jamaa ndie Mmiliki wa LandMark Hotel zote zote
Inbdi sasa akae nao chini azungumze nao hapo ni mshiko tuUyo mtu hata leo akitaka kununua hashindwi.
Huyo jamaa ndie Mmiliki wa LandMark Hotel zote zote
Na tegeta masait na boko piaMaeneo yanayoongoza kwa utapeli wa viwanja Dar es salaam ni kariokoo na Bunju
Unatakiwa ujiridhishe hasa sio utani
Itabidi Hilo gholofa alinunue upya Tena kwa Bei ya sasa.Inbdi sasa akae nao chini azungumze nao hapo ni mshiko tu
Ova
Kwa Mwaka 2001 Tegeta angejenga nyumba mbili za maana tu na fremu mbili tatu..Milioni 105 angeweza kupata kiwanja njia ya Tegeta na kujenga kwa nafasi, mji unapanuka. Pole zake.
Yes na ya Tukuyu. Pia anazo nyungine nyingi tu. Anaweza kuwa na nyumba zaidi ya 100. Kariakoo pekee anazo kadhaa.Hata hii ya hapa TUKUYU?
Huku kitaa kuna jamaa kajenga nyumba kwenye kiwanja cha mwanamke Sasa wamegombana demu kamwambia jamaa atoe nyumba yake..!!Je mwenyewe aliyejenga akiamua kuivunja vp?
Sheria ina mruhusu
Ova
Rejea hapaJe mwenyewe aliyejenga akiamua kuivunja vp?
Sheria ina mruhusu
Ova
Je mwenyewe aliyejenga akiamua kuivunja vp?
Sheria ina mruhusu
Ova
Ila itaondoka na wengi,labda watakaokuja kufaidika ni wale ambao hawausiki kabisaKutoka nyumba chakavu ya udongo mpaka kumiliki ghorofa tusikate tamaa wadau,ipo siku tutatoboa tu hata ikiwa uzeeni..ingekuwa mimi hapo muda huohuo nataka nione mikataba ya wapangaji hili nianze kula hela za kodi
View attachment 2203922
Japo me si mwanasheria lakini nadhani sheria haitomruhusu hilo jengo litatumika Kama fidia kwa hao wanafamilia kwa miaka yote 20 ambayo SH Amon hakufuata taratibuJe mwenyewe aliyejenga akiamua kuivunja vp?
Sheria ina mruhusu
Ova
Lazima awaiting mpunga sasaItabidi Hilo gholofa alinunue upya Tena kwa Bei ya sasa.