Saa 10 za gharama kubwa duniani, ya bei ndogo ni Tsh. Bilioni 11.7 aliyopewa JAY-Z na mkewe Beyonce

Saa 10 za gharama kubwa duniani, ya bei ndogo ni Tsh. Bilioni 11.7 aliyopewa JAY-Z na mkewe Beyonce

Haya maisha kwanini yanakuwa hivi lakini?

Mtu ananunua saa (accessory) ya Tsh billion 100+ huku kuna mtu hata Tsh 2000 ya chakula (basic need) anakosa!!
Kawaida, wewe unakuta unanunua bundle la buku 2 wakati kuna mtu anatafuta buku apate mlo wa mchana anakosa. Kila mtu ni extravagant kwa uwezo wake. Hata wewe kuna anayekuona unaharibu pesa hapo ulipo.
 
Kawaida, wewe unakuta unanunua bundle la buku 2 wakati kuna mtu anatafuta buku apate mlo wa mchana anakosa. Kila mtu ni extravagant kwa uwezo wake. Hata wewe kuna anayekuona unaharibu pesa hapo ulipo.
Nadhani alikuwa hajui
 
Kawaida, wewe unakuta unanunua bundle la buku 2 wakati kuna mtu anatafuta buku apate mlo wa mchana anakosa. Kila mtu ni extravagant kwa uwezo wake. Hata wewe kuna anayekuona unaharibu pesa hapo ulipo.
Point yangu kuu ni kwamba life is unfair.
 
Ananunua saa na anasaidia watu.
Point yangu si kuhusu kusaidia watu.

Point yangu ni kwamba life is unfair, yani kwamba kuna mtu anapata bilion 100 za kununua saa hapohapo kuna mtu hata buku mbili tu ya kula ni kipengele.
 
Back
Top Bottom