Saa 1500EAT Simba sc tuna Jambo letu

Saa 1500EAT Simba sc tuna Jambo letu

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
Stay tuned

FB_IMG_16397397074265941.jpg

Nasikia uwanja umeivaaa

FB_IMG_16397471536275443.jpg
 
Kwahiyo uwanja ukikamilika utaitwa Mo arena na Mo atakua na asilimia 49 za umiliki wa uwanja hali ya kuwa kwa kiasi kikubwa hela imechangwa na wana simba wenyewe ? .. Au nimekurupuka ? [emoji848][emoji848]
 
Kwahiyo uwanja ukikamilika utaitwa Mo arena na Mo atakua na asilimia 49 za umiliki wa uwanja hali ya kuwa kwa kiasi kikubwa hela imechangwa na wana simba wenyewe ? .. Au nimekurupuka ? [emoji848][emoji848]
Suburi uambiwe una roho mbaya na hupendi maendeleo mkuu!! Hawachelewi hawa makolo we subiri kidogo tu.
 
Kwahiyo uwanja ukikamilika utaitwa Mo arena na Mo atakua na asilimia 49 za umiliki wa uwanja hali ya kuwa kwa kiasi kikubwa hela imechangwa na wana simba wenyewe ? .. Au nimekurupuka ? [emoji848][emoji848]
Huko mbeleni kutamu tuombe uzima
 
Ukiwa na uwanja alafu match ya yanga na Simba ikapangwa mkapa mtafanya nini?? Azam ana uwanja lakini match kubwa zote hachezee kwake anacheza mkapa.
 
Back
Top Bottom