Hayo mambo ya ushoga ya connection kabsa na mambo ya kiroho,tumuombeni sana mungu na ukiwa ndani ya yesu hamna linaloshindkana,shetan kwa kujua Ana muda mchache na anataka kuwavuna wengi kuna roho nyingi sana za kishoga zinawatesa watu wao wenyewe wanaona ni kitu cha kawaida lakini shetan anatuma mapepo ya ushoga kwa wanaume wengi ili apate kuwavuna ndo maana rate ya ushoga kila siku inaongezeka tofauti na miaka ya zamani,na huyo Obama ni agent wa Lucifer anafanya hvyo kutimiza maagizo Tu ya kuzimu, mungu atusaidie tuko kwenye vita sana katika hiki kipindi cha mwsho shetan halal akiwaza atupataje yesu ndo suruhisho la yote,





