Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Pole sana Mkuu.Sasa niliwaza ikitokea nimezima pale sijui wangesema nn ajirani
inabidi kila baada ya kamuda mtu usafishe colon kwa green juices na detoxes kiongozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana Mkuu.Sasa niliwaza ikitokea nimezima pale sijui wangesema nn ajirani
Hapa inaongelewa mlo mbovu, kukosa choo na hatari ya kupata hermoroid soma soma tu kiongoziHuu uzi umefikaje hapa wakati sioni content yoyote ya maana
Mkuu huwezi amini leo nimekunywa maji vibaya mno..Pole sana Mkuu.
inabidi kila baada ya kamuda mtu usafishe colon kwa green juices na detoxes kiongozi
Wewe sio mgeni..Hapa inaongelewa mlo mbovu, kukosa choo na hatari ya kupata hermoroid soma soma tu kiongozi
HahahWewe sio mgeni..
Wewe ni mwenyeji mkuu 🙏🙏🙏🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Najuwa vizur tu ushaur wa mwanzo ndo mzuri unamix soup u aitia muleMkuu kuna ishu ujajua bado...
Hvi unajua udongo mfunyanzi ulivyo
Mkuu unatiaje naomba nielekeze tafadhariNajuwa vizur tu ushaur wa mwanzo ndo mzuri unamix soup u aitia mule
Pole sana ndgu, bila shaka somo limekuingiaHata mimi mwanzoni nilikua naburudika nikienda huko unapopasema ww ...
Ila nikapitia changamoto kidogo kutokana na ubize wa kazi zangu nikawa nakula vikavu mno...
Mkuu ile hali ya jana nikikumbuka kuna hali ya kuogopa hvi
Somo gani sasa ahahahhaha acha madharau mkuuPole sana ndgu, bila shaka somo limekuingia
😂😂😂 Kuna njia nyingi za kujifunza jambo mkuu, wengine ndo hivo hadi kikupate kitu ndo somo linakaa kichwaniSomo gani sasa ahahahhaha acha madharau mkuu
Daaah😂😂😂 Kuna njia nyingi za kujifunza jambo mkuu, wengine ndo hivo hadi kikupate kitu ndo somo linakaa kichwani
Daaah bahati chooni mkuu serious17 =luckiest number
Alikuwa anamaanisha Constipation au ?