Watu wapo kuingiza hela, tiketi zote zimeuzwa kwahiyo uongozi ushakamilisha yao, kama umenunua tiketi na hujaja shauri yakoKuna tukio la aibu linaenda kutokea leo, hadi dakika hii watu wamesusa sijui maana kwa mkapa kweupeeee tofauti na tamasha la wapinzani lililopita yani ilikiwa hadi dakika hii hakuna pa kuhema.
Aya ngoja tuone muda ndo mwamuzi watakavozalilika watu na bonanza laoView attachment 1944626
Wanateseka na niniAcha uongo sahivi ni saaa 13:36 heee
Hawaamini kinachoendelea. Wanaacha kuifuatilia gongowazi yao wanahangaika na wenye nchiWanateseka na nini
We choko acha uongo sahizi ni saa sabaKuna tukio la aibu linaenda kutokea leo, hadi dakika hii watu wamesusa sijui maana kwa mkapa kweupeeee tofauti na tamasha la wapinzani lililopita yani ilikiwa hadi dakika hii hakuna pa kuhema.
Aya ngoja tuone muda ndo mwamuzi watakavozalilika watu na bonanza laoView attachment 1944626
Acha uongo hata photography hujasoma kwa kuingalia tu hiyo.picha muda unaonekana ni.jioni na pia usemalo ni uongo kwa maana tayari kwa mkapa tiketi zimeshauzwa zote tunauza za shamba la bibi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa muda kama huu siku ya wananchi ilikuwa hiviView attachment 1944633
Unateseka ukiwa wapi?Kuna tukio la aibu linaenda kutokea leo, hadi dakika hii watu wamesusa sijui maana kwa mkapa kweupeeee tofauti na tamasha la wapinzani lililopita yani ilikiwa hadi dakika hii hakuna pa kuhema.
Aya ngoja tuone muda ndo mwamuzi watakavozalilika watu na bonanza laoView attachment 1944626
Upewe ushahidi ukiwa kama nani?Zimeuzwa zote ushahidi uko
Lete ushahidi wa tiketi kuuzwa zote hapaAcha uongo hata photography hujasoma kwa kuingalia tu hiyo.picha muda unaonekana ni.jioni na pia usemalo ni uongo kwa maana tayari kwa mkapa tiketi zimeshauzwa zote tunauza za shamba la bibi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nenda kwa page za wenye nchi utaona[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nasikia wachezaji 6 wa kikosi cha kwanza cha uto huko nigeria wamewejwa karantini wana covid 19 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Lete ushahidi wa tiketi kuuzwa zote hapa
Zimeuzwa zote ushahidi uko wapi?