hannibali
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 468
- 427
Kuna tukio la aibu linaenda kutokea leo, hadi dakika hii watu wamesusa sijui maana kwa mkapa kweupeeee tofauti na tamasha la wapinzani lililopita yani ilikiwa hadi dakika hii hakuna pa kuhema.
Aya ngoja tuone muda ndo mwamuzi watakavozalilika watu na bonanza lao
Aya ngoja tuone muda ndo mwamuzi watakavozalilika watu na bonanza lao