Saa nane hii uwanja mweupeee

Saa nane hii uwanja mweupeee

View attachment 1944654View attachment 1944655
FB_IMG_16320487012888522.jpg


Umeona hali.halisi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wewe haupo uwanjani hau Kama upo umeokoteza picha za saa moja asubuhi
 
Yaani pamoja na jitihada zote za uwekezaji lakini mbaka saaizi mashabiki bado wana suasua kuingia uwanjani, bora wangetumia shamba la bibi wangeweza Ku ujaza.
 
Yaani pamoja na jitihada zote za uwekezaji lakini mbaka saaizi mashabiki bado wana suasua kuingia uwanjani, bora wangetumia shamba la bibi wangeweza Ku ujaza.
Acha uongo uwanja umejaa nyomi ya kutosha wanazuia sahizi watu kuingia.
 
Kuna tukio la aibu linaenda kutokea leo, hadi dakika hii watu wamesusa sijui maana kwa mkapa kweupeeee tofauti na tamasha la wapinzani lililopita yani ilikiwa hadi dakika hii hakuna pa kuhema.

Aya ngoja tuone muda ndo mwamuzi watakavozalilika watu na bonanza laoView attachment 1944626
Hahahh kuna watu wanafiki sana Tz bhana
 
shda yenu utopolo ni kupambana na simba mtaumia vibaya muno hadi saa sac mchana watu hawakupata pa kukaa najua manara anaona aibu subr mtolewe ndo mtajua
 
Kuna tukio la aibu linaenda kutokea leo, hadi dakika hii watu wamesusa sijui maana kwa mkapa kweupeeee tofauti na tamasha la wapinzani lililopita yani ilikiwa hadi dakika hii hakuna pa kuhema.

Aya ngoja tuone muda ndo mwamuzi watakavozalilika watu na bonanza laoView attachment 1944626
Sawa dada shida yako?

Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
 
Kuna tukio la aibu linaenda kutokea leo, hadi dakika hii watu wamesusa sijui maana kwa mkapa kweupeeee tofauti na tamasha la wapinzani lililopita yani ilikiwa hadi dakika hii hakuna pa kuhema.

Aya ngoja tuone muda ndo mwamuzi watakavozalilika watu na bonanza laoView attachment 1944626
Mashabiki wengi wa simba ni maskini wa pesa na akili hela wanatoa wapi?
 
Back
Top Bottom