Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
Saa nane usiku nitakua na maombi ya kufunguliwa unahitaji nikuombee nini mungu afanye kwako.🙏❤️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza kabisa thibitisha Mungu yupo.SAA NANE USIKU NITAKUA NA MAOMBI YA KUFUNGULIWA UNAHITAJI NIKUOMBEE NINI MUNGU AFANYE KWAKO.🙏❤️
Kijana unahitaji mnazaretiSAA NANE USIKU NITAKUA NA MAOMBI YA KUFUNGULIWA UNAHITAJI NIKUOMBEE NINI MUNGU AFANYE KWAKO.🙏❤️
Unaelewa maana ya jina Ilo🤷🏽♂️User name: Magical Power! Peleka laana zako huko!
Wewe una Amin nn apoKwanza kabisa thibitisha Mungu yupo.
Wale walio Fanya makosa kwel wanavuna walicho panda ,huwez upande maharage alafu uvune dagaa,ila wale wote walio ingia kule kwa kuonewa basi Mwenyez Mungu atawafinyia wepes watatoka siku Moja kabla ya kifungo Chao kuisha🙏🏽Kama ni maombi ya kufunguliwa basi waombee wafungwa ili wafunguliwe toka kifungoni ili nao wawe huru.
AminOmbea nchi yangu Tanzania na Viongozi wake
Muiind nae anaomba akupige kibunda chako apo kasheshe Leo😂😂Niombee nimpige mhindi mkeka wa hela ndefu. Nina mpango wa kufungua factory ya kutengeneza viatu kabla mwaka huu haujaisha.
Sawa usijal utafanikiwa na milango Yako ya baraka imefungukaNiombee rizki zifunguke