Mwanadiplomasia Mahiri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 491
- 1,907
- Thread starter
- #21
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ilivyotabiriwaTayari huko[emoji1787][emoji1787]View attachment 3129230
Ngoja tuoneRuka nayo mkuu.
Umeanzia kabla ya mudaNgoja tuone
Wamepita nao, tutaendelea na uliopo hamna tatizoUmeanzia kabla ya muda
Hahahaha 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Kumekuwa na kasumba ya kila mdau wa JF aonekane yeye ndio wa kwanza kufungua thread ya mechi ya Simba Vs Yanga.
Matokeo yake mpaka ni mlundikano wa nyuzi japo huwa zinakujwa kuunganishwa.
Mbaya zaidi kuna jamaa yeye ni mod, huwa anafoji hadi muda ili tu thread yake ionekane ya mapema zaidi.
Hata yeye kaanzisha kabla ya mudaWamepita nao, tutaendelea na uliopo hamna tatizo
Mwamba unapenda Sports umesubscribe
🤣🤣Hata yeye kaanzisha kabla ya muda
Uongo uongo?
Mimi mwenyewe sijui imekuaje?Uongo uongo?
Tuendelee hivyo.Mimi mwenyewe sijui imekuaje?
🤣🤣🤣🤣🤣Cha ajabu uzi wa yanga utaanzishwa na shabiki wa simba, ilimradi tu kutia nuksi....