Saa sita usiku wa leo, utashangaa nyuzi za Simba Vs Yanga zaidi ya moja, hivi kwanini huwa mnagombania?

Hahahaha 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Tatizo si kuanzisha Uzi Ila unakuta wanaokimbilia wengi kuanzisha Uzi hawatoi update hata list wanashindwa kuweka
 
Tatizo si kuanzisha Uzi Ila unakuta wanaokimbilia wengi kuanzisha Uzi hawatoi update hata list wanashindwa kuweka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…