Sababu 10 za kuikana (DISOWNED) Tume ya Katiba ya Warioba...

Sababu 10 za kuikana (DISOWNED) Tume ya Katiba ya Warioba...

Mzee ni bora angepuumzika awaachie vijana wa leo wawategenenzee vijana kesho. kama alivyofanya yeye alipokuwa kijana
 
Mkuu Ruta mie nilishastuka siku nyingi kuhusu zoezi hili la kukusanya maoni ya Watanzania kuhusu katiba mpya ambayo inatakiwa itumike katika uchaguzi ujao 2015. Niliwahi kuandika kwamba usanii utafanyika na kuandika katiba nyingine ambayo itakuwa kama ya chama kimoja na hivyo kuipa magamba nafasi kubwa ya kubaki madarakani. Naomba tu kama katiba kama hiyo ikiandikwa Watanzania tuikatae kwa sauti moja.

Cha kushangaza tume hiyo ina watu chungu nzima waliowahi kushika nyadhifa mbali mbali nchini lakini hawa wote hawaongei ila ni Warioba tu!!! Sijui huyu Mzee ndiye msemaji wa tume hiyo!? Dalili kusema kweli za kupata katiba ambayo itaungwa mkono na Watanzania wengi zinazidi kufifia lakini kama tuwajuavyo magamba watachakachua matokeo ya kuunga/kutoungwa mkono kwa katiba hiyo mpya na hivyo itapita kwa kishindo na hivyo kuwawezesha magamba kutawala Tanzania milele!!!
 
Mkuu Ruta mie nilishastuka siku nyingi kuhusu zoezi hili la kukusanya maoni ya Watanzania kuhusu katiba mpya ambayo inatakiwa itumike katika uchaguzi ujao 2015. Niliwahi kuandika kwamba usanii utafanyika na kuandika katiba nyingine ambayo itakuwa kama ya chama kimoja na hivyo kuipa magamba nafasi kubwa ya kubaki madarakani. Naomba tu kama katiba kama hiyo ikiandikwa Watanzania tuikatae kwa sauti moja.

Cha kushangaza tume hiyo ina watu chungu nzima waliowahi kushika nyadhifa mbali mbali nchini lakini hawa wote hawaongei ila ni Warioba tu!!! Sijui huyu Mzee ndiye msemaji wa tume hiyo!? Dalili kusema kweli za kupata katiba ambayo itaungwa mkono na Watanzania wengi zinazidi kufifia lakini kama tuwajuavyo magamba watachakachua matokeo ya kuunga/kutoungwa mkono kwa katiba hiyo mpya na hivyo itapita kwa kishindo na hivyo kuwawezesha magamba kutawala Tanzania milele!!!

hilo usilitegemee,,,tena watz wengi umuhim wa katiba hawaujui,kuna mambo mengi yanawagusa moja kwa moja hawayakatai,waje wakatae KATIBA?
 
Mkuu Ruta mie nilishastuka siku nyingi kuhusu zoezi hili la kukusanya maoni ya Watanzania kuhusu katiba mpya ambayo inatakiwa itumike katika uchaguzi ujao 2015. Niliwahi kuandika kwamba usanii utafanyika na kuandika katiba nyingine ambayo itakuwa kama ya chama kimoja na hivyo kuipa magamba nafasi kubwa ya kubaki madarakani. Naomba tu kama katiba kama hiyo ikiandikwa Watanzania tuikatae kwa sauti moja.

Cha kushangaza tume hiyo ina watu chungu nzima waliowahi kushika nyadhifa mbali mbali nchini lakini hawa wote hawaongei ila ni Warioba tu!!! Sijui huyu Mzee ndiye msemaji wa tume hiyo!? Dalili kusema kweli za kupata katiba ambayo itaungwa mkono na Watanzania wengi zinazidi kufifia lakini kama tuwajuavyo magamba watachakachua matokeo ya kuunga/kutoungwa mkono kwa katiba hiyo mpya na hivyo itapita kwa kishindo na hivyo kuwawezesha magamba kutawala Tanzania milele!!!
[MENTION]
BAK[/MENTION] Bila kurekebisha katiba kuruhusu mchakato wa wazi, shirikishi na ambao utaruhusu kuunda tume huru ya uchaguzi kabla ya kukusanya maoni tajwa ni tunatwanga maji kwenye kinu. Hii katiba haitadumu baadaye itabidi kuingia gharama ya kuandika katiba nyingine kwa sababu hii ya sasa mazingira yote yanaonyesha itakuwa ya viongozi na wala siyo ya watawaliwa...........
 
  • Thanks
Reactions: BAK
hilo usilitegemee,,,tena watz wengi umuhim wa katiba hawaujui,kuna mambo mengi yanawagusa moja kwa moja hawayakatai,waje wakatae KATIBA?

Bamwanasha Hata tukiikataa NEC na TIss wathakikisha wanayachakachua maoni yetu na kudai ilipita kwa kishindo kikubwa.........
 
Last edited by a moderator:
Mzee ni bora angepuumzika awaachie vijana wa leo wawategenenzee vijana kesho. kama alivyofanya yeye alipokuwa kijana

ummu kulthum tatizo la wazee wetu ni kuwa hawana ujuzi wowote ule ukimtoa kwenye huu utapeli wa kisiasa hana la kufanya na anaona atakufa mapema kwa kukosa changamoto.......................kwa hiyo inambidi awqe king'ang'anizi hivi......
 
Last edited by a moderator:
hahahaha,,,,next tym nafas za vijijin mtuwekee

Bamwanasha Hawa hadi watapoacha ushirikina wataendelea kuwa mkia wetu hawana jinsi.............
 
Last edited by a moderator:
Baba_Enock, Bamwanasha Hivi ni sahihi Warioba kujipima mwenyewe? Si ni vyema naye akapimwa na chombo kingine?
Rutashubanyuma - Tume Juu Ya Tume? No No No...! Anyways - Kwa mtizamo wangu hii Tume Ya Kukusanya na Kuratibu Utoaji Maoni ya Kuhusu "katiba mpya" is another "Babu wa Loliondo" all together...! Watawala waovu wanapeana "ulaji" at the expense of our "ignorance"...that is it...!
 
Last edited by a moderator:
Rutashubanyuma - Tume Juu Ya Tume? No No No...! Anyways - Kwa mtizamo wangu hii Tume Ya Kukusanya na Kuratibu Utoaji Maoni ya Kuhusu "katiba mpya" is another "Babu wa Loliondo" all together...! Watawala waovu wanapeana "ulaji" at the expense of our "ignorance"...that is it...!

Baba_Enock Tatizo la Warioba na safu nzima ya walaji wenzie hawana uhalali wowote ndani ya hii katiba. Utaratibu uliotumika kurekebisha katiba iliyopo haujasimikwa ndani ya katiba hii iliyopo kwa sababu wanajua ccm hawana theluthi mbili ya kutekeleza udhalimu wao. Mtaji wao ni ufahamu mdogo wa wa-TZ na unyonge wetu wa kuwaamini viongozi waliopo watuonee huruma jambo ambalo kamwe halitatokea............
 
Last edited by a moderator:
Ninayaona maandishi ukutani MENE MENE TEKEL NA PERESI! Thanks Mkuu nimeamini kwamba bado kuna watu nchini dhamira zao Hazijafa! Na huu uzi ni ushuhuda tosha!
 
Ukishakuwa kwenye NGO, au dini au siasa, haki zako za kuwa mtanzania, na kuchangia maoni ya katiba zinakufa.
LAbda uwe kwenye kamati au uwe ndio umeweka wajumbe wa kamati.

Maybe uwe unaunga mkono kamati 100%
 
Ninayaona maandishi ukutani MENE MENE TEKEL NA PERESI! Thanks Mkuu nimeamini kwamba bado kuna watu nchini dhamira zao Hazijafa! Na huu uzi ni ushuhuda tosha!

mgen hatupaswi kukataa tamaa
 
Last edited by a moderator:
siasa za kiafro nazo
A%20S%20angry.gif
aaa

wahida uko kwenye mstari.......ubabaishaji ni mwingi mno.......
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom