Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
- Thread starter
- #41
Ukishakuwa kwenye NGO, au dini au siasa, haki zako za kuwa mtanzania, na kuchangia maoni ya katiba zinakufa.
LAbda uwe kwenye kamati au uwe ndio umeweka wajumbe wa kamati.
Maybe uwe unaunga mkono kamati 100%
big point Haika......baya zaidi hizo kazi hazimo kwenye hadidu zake za rejea.....................kajibunia majukumu mapya anafikiri anaweza kututisha........hatutishiki...........
Last edited by a moderator: