Murashani GALACTICO
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,511
- 5,390
Una uhakika Hussein MWINYI sio mtu wa bara????Kwa hivyo bara tumekosa watu, mpaka tumsubirie mzanzibar?.
Waomani wameijenga Zanzibar Wahutu wamejenga nini?ana wajomba oman?
Swadakta..Aisee tupumzisheni na ujinga wenu wa kuwaza madaraka tu kila saa.
Tangu uhuru ma CEO wote wametoka bara Kwa asili, na wengine Kwa Kuzaliwa.Una uhakika Hussein MWINYI sio mtu wa bara????
Je wa bara mara ngapi wameongoza urais wa Muungano???
Zamu ya wazenji ndo hii sasa
Imetawaliwa na MWIZANAKI kwa miaka mingapi?Nchi haiwezi kutawaliwa na Wahamiajiharamu wawili JPM na huyu.
Mmoja ametosha.
Yule Mzee huoni umasikini aliotusababishia.Imetawaliwa na MWIZANAKI kwa miaka mingapi?
Mwigulu alipita world bank pia, awe raisi nayeMosi aliugua corona, pili ni Bankster alipitia World Bank na tatu hakuwa Makamu wa Raisi kwa bahati mbaya.
Sasa anzeni kumjadili Mpango Phillip na muone jinsi mtakavyo ishi naye kwani ndiye Raisi ajaye, 2030 baada ya Samia, kila kitu kimepangwa na globalist ofcourse, …
Kuna watu watatu tu.Tunaosubiri HUSSEN MWINYI tukoment au tupite hivi
Niwaambie tu kwamba Rais ajaye hajawahi kufikiriwa kuwa Rais na wengi watashangaa sana. Pona yake ni kuibuka kutokana na vita vya makundi ya wanaojiona wao ndio. Hapo Sasa Taifa litampata Mgombea asiyewahi kuwaziwa kabisa. Tunzeni hii comment.Rais ajaye ni Ridhiwani au January makamba
Hawa walishindwa kuwa na succession plan wakati na baada ya jiwe, yy na mwangaluka gang hawataweza kurudi madarakani abadani, msoga and co hawawezi kurudia kosa.Bashiru Ally kakurwa!!
Dr.nchimbiNiwaambie tu kwamba Rais ajaye hajawahi kufikiriwa kuwa Rais na wengi watashangaa sana. Pona yake ni kuibuka kutokana na vita vya makundi ya wanaojiona wao ndio. Hapo Sasa Taifa litampata Mgombea asiyewahi kuwaziwa kabisa. Tunzeni hii comment.
Haya ndo maendeleo yanavyojadiliwa na GTsMosi aliugua corona, pili ni Bankster alipitia World Bank na tatu hakuwa Makamu wa Raisi kwa bahati mbaya.
Sasa anzeni kumjadili Mpango Phillip na muone jinsi mtakavyo ishi naye kwani ndiye Raisi ajaye, 2030 baada ya Samia, kila kitu kimepangwa na globalist ofcourse, …
Kwani huyu aliyepo ni mzawa?Nchi haiwezi kutawaliwa na Wahamiajiharamu wawili JPM na huyu.
Mmoja ametosha.
Unaongolea 2030 -3035 au 2025-2030?Niwaambie tu kwamba Rais ajaye hajawahi kufikiriwa kuwa Rais na wengi watashangaa sana. Pona yake ni kuibuka kutokana na vita vya makundi ya wanaojiona wao ndio. Hapo Sasa Taifa litampata Mgombea asiyewahi kuwaziwa kabisa. Tunzeni hii comment.
Tulia atulie tu kwa kweli , we are no longer ready with a womanCCM jikoni huwa wanapenda kumpa urais mtu anaecheza kwenye umri wa miaka 55 mpaka 65 hivi kwa hilo tayari Philip Mpango kashaenguliwa mapema sana
Hapo tuongelee akina Mwigulu ,Hammad Masauni,Tulia Ackson
100%Kwani huyu aliyepo ni mzawa?