Sababu 3 kwanini Dkt. Philip Mpango ndiye Rais ajaye

Sababu 3 kwanini Dkt. Philip Mpango ndiye Rais ajaye

Mosi aliugua corona, pili ni Bankster alipitia World Bank na tatu hakuwa Makamu wa Raisi kwa bahati mbaya.

Sasa anzeni kumjadili Mpango Phillip na muone jinsi mtakavyo ishi naye kwani ndiye Raisi ajaye, 2030 baada ya Samia, kila kitu kimepangwa na globalist ofcourse, …
Mwigulu alipita world bank pia, awe raisi naye
 
Rais ajaye ni Ridhiwani au January makamba
Niwaambie tu kwamba Rais ajaye hajawahi kufikiriwa kuwa Rais na wengi watashangaa sana. Pona yake ni kuibuka kutokana na vita vya makundi ya wanaojiona wao ndio. Hapo Sasa Taifa litampata Mgombea asiyewahi kuwaziwa kabisa. Tunzeni hii comment.
 
Niwaambie tu kwamba Rais ajaye hajawahi kufikiriwa kuwa Rais na wengi watashangaa sana. Pona yake ni kuibuka kutokana na vita vya makundi ya wanaojiona wao ndio. Hapo Sasa Taifa litampata Mgombea asiyewahi kuwaziwa kabisa. Tunzeni hii comment.
Dr.nchimbi
 
Mosi aliugua corona, pili ni Bankster alipitia World Bank na tatu hakuwa Makamu wa Raisi kwa bahati mbaya.

Sasa anzeni kumjadili Mpango Phillip na muone jinsi mtakavyo ishi naye kwani ndiye Raisi ajaye, 2030 baada ya Samia, kila kitu kimepangwa na globalist ofcourse, …
Haya ndo maendeleo yanavyojadiliwa na GTs


Tutoke ujingani jamani. Nchi inahitaji thinkers na siyo sinkers na stinkers
 
Upuuzi Mtupu
Mtu Anayetajwa Ni Wa Baridi Sana Hata Ubunge Alipata Kwa Fitna Kama Unabisha Sema Suuu!!
 
Niwaambie tu kwamba Rais ajaye hajawahi kufikiriwa kuwa Rais na wengi watashangaa sana. Pona yake ni kuibuka kutokana na vita vya makundi ya wanaojiona wao ndio. Hapo Sasa Taifa litampata Mgombea asiyewahi kuwaziwa kabisa. Tunzeni hii comment.
Unaongolea 2030 -3035 au 2025-2030?
 
  • Thanks
Reactions: Ame
CCM jikoni huwa wanapenda kumpa urais mtu anaecheza kwenye umri wa miaka 55 mpaka 65 hivi kwa hilo tayari Philip Mpango kashaenguliwa mapema sana

Hapo tuongelee akina Mwigulu ,Hammad Masauni,Tulia Ackson
Tulia atulie tu kwa kweli , we are no longer ready with a woman
 
Back
Top Bottom