Mwembebasha
JF-Expert Member
- Dec 27, 2013
- 1,424
- 406
imekugusa?
Tatizo unawaza siasa kila uchao. Hapa si mahala pake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
imekugusa?
Nitaisoma kesho hii sredi muhimu
Ahsante mkuu kwa uchambuzi wa kina sana,ila nina maswali machache naomba ufafanuzi.
1: Huu mfumo mpya wa kusokota pamoja nyaya zile ziingiazo kwenye mita sio hatari kwa baadae magamba yatakapo chunika kwa jua kali?
2: ukifunga mita(luku)sita katika waya huo uliosokotwa kwa matumizi ya single phase katika kila mita je!?waya utaweza kuhimili matumizi ya kila mita kwa wakati mmoja?
Natarajia majibu ya kiufafanuzi mtaalamu wangu.
ahsante sana kwa Elimu hii, naomba kujua kama nimenunua wire 2.5 zile single zenye rangi tatu red, black , njano je zinaweza kutumika kufanya wiring za socket na taa? bila kutumia wire ya 1.5?
Uko vzr ndugu,,taa 4 na fridge.tv na computer kwa lisaa limoja nitatumia unit ngapi?
transtor,wewe ni fund wirering?