Hii ni elimu yenye hadhi ya nyota 5 kabisaa tunaipata buree bila ada tena kwa mda mfupi wakati akieileta hapa imemgharimu hera nyingi za ada na mda wa miaka mingi kuimaster mtu akiniambia natumia mitandao sipati faida huwa namsikitikia sana.. Jf siwadai kitu wala sujuti kuifahamu.