Recta
JF-Expert Member
- Dec 8, 2006
- 855
- 42
........Kwa akili za watanzania wengi watamchagua tu Kikwete, tatizo huko vijijini wanajua chama kimoja tu CCM. Hivyo Kikwete akigombea mwakani na bila shaka atagombea kupitia CCM, lazima ashinde tu kwa ushindi mkubwa.
Mie wala sitojihangaisha kupiga kura.
Ni vizuri ukapiga kura kumchagua kiongozi unaemtaka. Wengi wanaodhani atashinda kwa kishindo wasipopiga kura, ni dhahiri kuwa mtu usiemtaka anakuwa na nafasi kubwa ya kushinda endapo wengine watampa kura zao.
Sioni jinsi gani JK atashindwa uchaguzi ujao. Japokuwa nahisi kuwa hatapata kura nyingi sana kama alivyopata katika uchaguzi uliopita (kura zitapungua sana).