Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
📝Watu wengi Sana wamekua wakijiuliza ni kwanini falinali za kilabu bingwa afrika na zile za shirikisho zinapigwa home and away mpaka Leo na wengine wakaenda mbali zaidi na kusema mfumo huoo ni wa hovyo sana Bora mechi iwe inapigwa moja tu kwenye neutral ground.
📝 Majib ya swali hili na lawama hizi tayar yalishajibiwa na aliyekua rais wa shirikisho la mpira barani Africa (CAF) bwana Ahmad Ahmad swali hili aliulizwa alipokuja kuzindua mashindano ya afcon ya chini ya umri wa miaka 17 nchini Tanzania.
📝 Jamaa alisema sabaabu kuu ni moja tu ambayo ni issue ya mashabiki, mashabiki wetu wa Africa bado hawana Ile passion au wapo wenye passion lakini hawapo vizuri kiuchumi kwahiyo ni ngumu kwa mashabiki kusafiri kwenda nchi fulani.
Mfano yanga akiingia fainali na Mc Alger na fainali ikachezewa let's say morroco ni mashabiki wachache Sana wataweza kuhudhuria fainali hizo kutoka Tanzania, Algeria pamoja na morroco penyewe na fainali ni watu hivyo itapoteza mvuto.
🧠itachukua muda Sana kuwa na fainali moja katika mashindano yetu haya makubwa.
#africanfootball
📝 Majib ya swali hili na lawama hizi tayar yalishajibiwa na aliyekua rais wa shirikisho la mpira barani Africa (CAF) bwana Ahmad Ahmad swali hili aliulizwa alipokuja kuzindua mashindano ya afcon ya chini ya umri wa miaka 17 nchini Tanzania.
📝 Jamaa alisema sabaabu kuu ni moja tu ambayo ni issue ya mashabiki, mashabiki wetu wa Africa bado hawana Ile passion au wapo wenye passion lakini hawapo vizuri kiuchumi kwahiyo ni ngumu kwa mashabiki kusafiri kwenda nchi fulani.
Mfano yanga akiingia fainali na Mc Alger na fainali ikachezewa let's say morroco ni mashabiki wachache Sana wataweza kuhudhuria fainali hizo kutoka Tanzania, Algeria pamoja na morroco penyewe na fainali ni watu hivyo itapoteza mvuto.
🧠itachukua muda Sana kuwa na fainali moja katika mashindano yetu haya makubwa.
#africanfootball