Sababu Fainali za CAF Kuchezwa nyumbani na ugenini

Sababu Fainali za CAF Kuchezwa nyumbani na ugenini

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
📝Watu wengi Sana wamekua wakijiuliza ni kwanini falinali za kilabu bingwa afrika na zile za shirikisho zinapigwa home and away mpaka Leo na wengine wakaenda mbali zaidi na kusema mfumo huoo ni wa hovyo sana Bora mechi iwe inapigwa moja tu kwenye neutral ground.

📝 Majib ya swali hili na lawama hizi tayar yalishajibiwa na aliyekua rais wa shirikisho la mpira barani Africa (CAF) bwana Ahmad Ahmad swali hili aliulizwa alipokuja kuzindua mashindano ya afcon ya chini ya umri wa miaka 17 nchini Tanzania.

📝 Jamaa alisema sabaabu kuu ni moja tu ambayo ni issue ya mashabiki, mashabiki wetu wa Africa bado hawana Ile passion au wapo wenye passion lakini hawapo vizuri kiuchumi kwahiyo ni ngumu kwa mashabiki kusafiri kwenda nchi fulani.

Mfano yanga akiingia fainali na Mc Alger na fainali ikachezewa let's say morroco ni mashabiki wachache Sana wataweza kuhudhuria fainali hizo kutoka Tanzania, Algeria pamoja na morroco penyewe na fainali ni watu hivyo itapoteza mvuto.

🧠itachukua muda Sana kuwa na fainali moja katika mashindano yetu haya makubwa.

#africanfootball

B2D9F4B0-C35E-42CC-BA1F-AD865E72DE58.jpeg
 
Ndivyo ilivyo kwenye ratiba. Mshindi wa nusu fainali no 1 (Yanga/Marumo) ataanzia nyumbani.
Fainali ya kwanza tarehe 28/05 na ya pili tarehe 03/06
Ngoja Nabi apambane kumalizana na Marumo kisha achange karatasi zake vyema kuelekea mechi ya mwisho. Hili kombe Yanga inapaswa lilichukue msimu huu ili wakulingia na robo robo itawachukua muda sana kuja kuvunja record ya kubeba kombe la CAF
 
Ngoja Nabi apambane kumalizana na Marumo kisha achange karatasi zake vyema kuelekea mechi ya mwisho. Hili kombe Yanga inapaswa lilichukue msimu huu ili wakulingia na robo robo itawachukua muda sana kuja kuvunja record ya kubeba kombe la CAF
Watasema LUZA KAP kumbe sizitaki mbichi hizi.
Lakini dawa yao hawa mwakani Yanga atinge hata nusu fainali ya CAF CL.
Injinia akifanikisha kumpata Ranga Chivaviro itakuwa poa sana asaidiane na Mayele na Musonda kule mbele na hata NBC PL uhakika wa alama 90 upo iwe historia ya dunia.
 
[emoji404]Watu wengi Sana wamekua wakijiuliza ni kwanini falinali za kilabu bingwa afrika na zile za shirikisho zinapigwa home and away mpaka Leo na wengine wakaenda mbali zaidi na kusema mfumo huoo ni wa hovyo sana Bora mechi iwe inapigwa moja tu kwenye neutral ground.

[emoji404] Majib ya swali hili na lawama hizi tayar yalishajibiwa na aliyekua rais wa shirikisho la mpira barani Africa (CAF) bwana Ahmad Ahmad swali hili aliulizwa alipokuja kuzindua mashindano ya afcon ya chini ya umri wa miaka 17 nchini Tanzania.

[emoji404] Jamaa alisema sabaabu kuu ni moja tu ambayo ni issue ya mashabiki, mashabiki wetu wa Africa bado hawana Ile passion au wapo wenye passion lakini hawapo vizuri kiuchumi kwahiyo ni ngumu kwa mashabiki kusafiri kwenda nchi fulani.

Mfano yanga akiingia fainali na Mc Alger na fainali ikachezewa let's say morroco ni mashabiki wachache Sana wataweza kuhudhuria fainali hizo kutoka Tanzania, Algeria pamoja na morroco penyewe na fainali ni watu hivyo itapoteza mvuto.

[emoji3447]itachukua muda Sana kuwa na fainali moja katika mashindano yetu haya makubwa.

#africanfootball

View attachment 2618855
Ni kweli mkuu. Morroco mbona mbali sana sema tu hapo Nairobi itakuwa ni shida. Another thing geographically Africa ni kubwa na pia Kuna changamoto ya miundombinu ya usafiri.
 
Watasema LUZA KAP kumbe sizitaki mbichi hizi.
Lakini dawa yao hawa mwakani Yanga atinge hata nusu fainali ya CAF CL.
Injinia akifanikisha kumpata Ranga Chivaviro itakuwa poa sana asaidiane na Mayele na Musonda kule mbele na hata NBC PL uhakika wa alama 90 upo iwe historia ya dunia.
Tukichukua kombe hata tusipofika nusu fainali champions league ni sawa tu. Kombe la luza hilo hilo wao hawana. Hawatokuwa na kombe la aina lolote lile la CAF.
 
Um
📝Watu wengi Sana wamekua wakijiuliza ni kwanini falinali za kilabu bingwa afrika na zile za shirikisho zinapigwa home and away mpaka Leo na wengine wakaenda mbali zaidi na kusema mfumo huoo ni wa hovyo sana Bora mechi iwe inapigwa moja tu kwenye neutral ground.

📝 Majib ya swali hili na lawama hizi tayar yalishajibiwa na aliyekua rais wa shirikisho la mpira barani Africa (CAF) bwana Ahmad Ahmad swali hili aliulizwa alipokuja kuzindua mashindano ya afcon ya chini ya umri wa miaka 17 nchini Tanzania.

📝 Jamaa alisema sabaabu kuu ni moja tu ambayo ni issue ya mashabiki, mashabiki wetu wa Africa bado hawana Ile passion au wapo wenye passion lakini hawapo vizuri kiuchumi kwahiyo ni ngumu kwa mashabiki kusafiri kwenda nchi fulani.

Mfano yanga akiingia fainali na Mc Alger na fainali ikachezewa let's say morroco ni mashabiki wachache Sana wataweza kuhudhuria fainali hizo kutoka Tanzania, Algeria pamoja na morroco penyewe na fainali ni watu hivyo itapoteza mvuto.

🧠itachukua muda Sana kuwa na fainali moja katika mashindano yetu haya makubwa.

#africanfootball

Umeshafutwa huo mfumo
 
Back
Top Bottom