Sababu Fainali za CAF Kuchezwa nyumbani na ugenini

Sababu Fainali za CAF Kuchezwa nyumbani na ugenini

Hii hoja mm nakubaliana nayo,Geographia ya Africa ni mtihani na limited sana na miundombinu ndio hivyo ndio maana kusafir kwenda sehemu nyingine ni mtihani sana,

Wenzetu Ulaya ni rahis kutoka nchi moja kwenda nchi nyingine kwa treni chini ya muda usiozidi hata masaa mawili,Mfano watu wengi wanaofanya kazi Zurich,Switzerland wengi huwa wanaishi Paris,Ufaransa wanasafiri kwa treni
 
Swala sio umbali bali ni uchumi, waafrika wengi ni wachovu sana kiuchumi na tuliona hata kwenye kombe la dunia lililofanyika nchini Afrika Kusini mwaka 2010.

Waliokuwa wanajaa viwanjani ni mashabiki wa kutoka nje ya bara la Afrika na hata wananchi wa Afrika Kusini wenyewe wengi walibaki kukodoa macho kwenye runinga tu.

Jana nimeshangaa mechi inachezwa ya nusu fainali klabu bingwa Afrika kati ya Esperance de Tunis na Al Ahli jijini Tunis huku sehemu kubwa ya uwanja ukiwa tupu kabisa.

Afrika kuna tatizo sana na hadi pale tutakaposhughulikia matatizo ya kiuchumi na kufanya watu wengi wawe na maisha mazuri viwanja vyetu bado vitaendelea kubaki tupu tu kwa miongo mingi ijayo.
Jana ilikuwa sababu mashabiki walipigwa marufuku ila waarabu kea timu zao pendwa ni vichaa hawana mbambamba kwenye kujaza viwanja hata Afcon iliyofanyika Misri ilikuwa watu shazi kwenye mechi zao ,na kombe la dunia morocco walikuwa wengi vilevile kutoa sapoti.
 
Swala sio umbali bali ni uchumi, waafrika wengi ni wachovu sana kiuchumi na tuliona hata kwenye kombe la dunia lililofanyika nchini Afrika Kusini mwaka 2010.

Waliokuwa wanajaa viwanjani ni mashabiki wa kutoka nje ya bara la Afrika na hata wananchi wa Afrika Kusini wenyewe wengi walibaki kukodoa macho kwenye runinga tu.

Jana nimeshangaa mechi inachezwa ya nusu fainali klabu bingwa Afrika kati ya Esperance de Tunis na Al Ahli jijini Tunis huku sehemu kubwa ya uwanja ukiwa tupu kabisa.

Afrika kuna tatizo sana na hadi pale tutakaposhughulikia matatizo ya kiuchumi na kufanya watu wengi wawe na maisha mazuri viwanja vyetu bado vitaendelea kubaki tupu tu kwa miongo mingi ijayo.
Hiyo mechi CAF wenyewe walisema watacheza bila mashabiki.
 
Ni kweli, Africa mashabiki bado ni changamoto. Mfano mechi ya jana (Al Ahly vs Esperance) tena nusu fainali kabisa naona inapigwa bila mashabiki, uwanja mtupu kabisa.
Labda kuna ban ya mashabiki, waarabu kwao huwa wanajaa
 
Fainal ya mwaka Jana ilikuwa mechi Moja tu kombe la shirikisho Wala msijitoe fahamu.!
 
Back
Top Bottom