Wataringishia robo fainali zao 3, lakini NUSU itafunika kila kitu.Tukichukua kombe hata tusipofika nusu fainali champions league ni sawa tu. Kombe la luza hilo hilo wao hawana. Hawatokuwa na kombe la aina lolote lile la CAF.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wataringishia robo fainali zao 3, lakini NUSU itafunika kila kitu.Tukichukua kombe hata tusipofika nusu fainali champions league ni sawa tu. Kombe la luza hilo hilo wao hawana. Hawatokuwa na kombe la aina lolote lile la CAF.
Kombe la luzaz halinaga umuhimu[emoji23]Halafu kuna wapuuzi wanaomilikiwa na Muhindi bila matunzo watakuja hapa kuongea shit.
Huyu amebarikiwa nyonyo 3
Kwa mfano Yanga akafika fainal je ataanzia wapi nyumbani au ugenini📝Watu wengi Sana wamekua wakijiuliza ni kwanini falinali za kilabu bingwa afrika na zile za shirikisho zinapigwa home and away mpaka Leo na wengine wakaenda mbali zaidi na kusema mfumo huoo ni wa hovyo sana Bora mechi iwe inapigwa moja tu kwenye neutral ground.
📝 Majib ya swali hili na lawama hizi tayar yalishajibiwa na aliyekua rais wa shirikisho la mpira barani Africa (CAF) bwana Ahmad Ahmad swali hili aliulizwa alipokuja kuzindua mashindano ya afcon ya chini ya umri wa miaka 17 nchini Tanzania.
📝 Jamaa alisema sabaabu kuu ni moja tu ambayo ni issue ya mashabiki, mashabiki wetu wa Africa bado hawana Ile passion au wapo wenye passion lakini hawapo vizuri kiuchumi kwahiyo ni ngumu kwa mashabiki kusafiri kwenda nchi fulani.
Mfano yanga akiingia fainali na Mc Alger na fainali ikachezewa let's say morroco ni mashabiki wachache Sana wataweza kuhudhuria fainali hizo kutoka Tanzania, Algeria pamoja na morroco penyewe na fainali ni watu hivyo itapoteza mvuto.
🧠itachukua muda Sana kuwa na fainali moja katika mashindano yetu haya makubwa.
#africanfootball
View attachment 2618855
Pamoja na hayo, binafsi home and away naiona ipo vizuri. Na sababu zilizotolewa ni halisi kabisa. Mechi ya SImba na Yanga tu kuna watu wanapend a kuitazama LIVE and DIRECT lakini wanashindwa kusafiri kisa pesa, sasa itakuwa kwenda nje ya Tanzania..!! Hata ndugu MAWEED anayesema mfumo huu ni wa kizamani, yeye mwenyewe si wa leo, ni wa zamani hukoo..!!Hapo wametumia hiyo mbinu ili kupata pesa kupitia viingilio wana piga kila upande
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Sahihi kabisa.Simba walifanya hivyo mwaka 1993(wengine hutamka "alfu tisa mia tisaini na tatu)!Makosa!Dah! Mpaka muda huu Yanga wako mguu mmoja ndani kuekekea fainali! Yaani kwa mara ya kwanza kabisa. All the best Wananchi. 💛💚💪
Kwa nini tujizoeshe kuuishi ujima?Tubadilike.Wakati ni huu!Kiafrika ni sahihi fainali kuwa mbili
Kiafrika ni sawa kufanya hivyo.Kwa nini tujizoeshe kuuishi ujima?Tubadilike.Wakati ni huu!
kwamba hauna taarifa za kuzuiliwa kwa mashabiki wa Esperance kuhudhuria uanjani sababu ya vurugu?Ni kweli, Africa mashabiki bado ni changamoto. Mfano mechi ya jana (Al Ahly vs Esperance) tena nusu fainali kabisa naona inapigwa bila mashabiki, uwanja mtupu kabisa.
ndio jitahidini wana uttoh, simba ilishafanya hivyo mwaka 1993Dah! Mpaka muda huu Yanga wako mguu mmoja ndani kuekekea fainali! Yaani kwa mara ya kwanza kabisa. All the best Wananchi. 💛💚💪
Ataanzia nyumbaniKwa mfano Yanga akafika fainal je ataanzia wapi nyumbani au ugenini
OkAtaanzia nyumbani
Umesoma Thread lakini?Na huwa nashangaa FIFA inapobariki huu mfumo wakizamani
Kula like kwanza. Alafu tuendelee kuwakumbusha makoloz kuwa mwendo wameumalizaa..Dah! Mpaka muda huu Yanga wako mguu mmoja ndani kuekekea fainali! Yaani kwa mara ya kwanza kabisa. All the best Wananchi. 💛💚💪
Wewe umesoma?Umesoma Thread lakini?