mwanga mweusi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 276
- 452
Viingilio wanachukua wao wanatoa yale malipo muhimu tu na wao ndio wanatoa kombe kulipa waamuzi nkKwani kwenye gate collection na CAF nao wana mgao wao?
Vibonde mmekutana, litimu lenyewe linashuka daraja.Halafu kuna wapuuzi wanaomilikiwa na Muhindi bila matunzo watakuja hapa kuongea shit.
Jana ilikuwa sababu mashabiki walipigwa marufuku ila waarabu kea timu zao pendwa ni vichaa hawana mbambamba kwenye kujaza viwanja hata Afcon iliyofanyika Misri ilikuwa watu shazi kwenye mechi zao ,na kombe la dunia morocco walikuwa wengi vilevile kutoa sapoti.Swala sio umbali bali ni uchumi, waafrika wengi ni wachovu sana kiuchumi na tuliona hata kwenye kombe la dunia lililofanyika nchini Afrika Kusini mwaka 2010.
Waliokuwa wanajaa viwanjani ni mashabiki wa kutoka nje ya bara la Afrika na hata wananchi wa Afrika Kusini wenyewe wengi walibaki kukodoa macho kwenye runinga tu.
Jana nimeshangaa mechi inachezwa ya nusu fainali klabu bingwa Afrika kati ya Esperance de Tunis na Al Ahli jijini Tunis huku sehemu kubwa ya uwanja ukiwa tupu kabisa.
Afrika kuna tatizo sana na hadi pale tutakaposhughulikia matatizo ya kiuchumi na kufanya watu wengi wawe na maisha mazuri viwanja vyetu bado vitaendelea kubaki tupu tu kwa miongo mingi ijayo.
Hata sijakuelewaViingilio wanachukua wao wanatoa yale malipo muhimu tu na wao ndio wanatoa kombe kulipa waamuzi nk
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Umeona wapi maana hata kwenye Road map ya CAF sijaona hiko kitu.Ataanzia nyumbani
utani kwenye mpira siyo lazima utukana!Halafu kuna wapuuzi wanaomilikiwa na Muhindi bila matunzo watakuja hapa kuongea shit.
Hiyo mechi CAF wenyewe walisema watacheza bila mashabiki.Swala sio umbali bali ni uchumi, waafrika wengi ni wachovu sana kiuchumi na tuliona hata kwenye kombe la dunia lililofanyika nchini Afrika Kusini mwaka 2010.
Waliokuwa wanajaa viwanjani ni mashabiki wa kutoka nje ya bara la Afrika na hata wananchi wa Afrika Kusini wenyewe wengi walibaki kukodoa macho kwenye runinga tu.
Jana nimeshangaa mechi inachezwa ya nusu fainali klabu bingwa Afrika kati ya Esperance de Tunis na Al Ahli jijini Tunis huku sehemu kubwa ya uwanja ukiwa tupu kabisa.
Afrika kuna tatizo sana na hadi pale tutakaposhughulikia matatizo ya kiuchumi na kufanya watu wengi wawe na maisha mazuri viwanja vyetu bado vitaendelea kubaki tupu tu kwa miongo mingi ijayo.
Labda kuna ban ya mashabiki, waarabu kwao huwa wanajaaNi kweli, Africa mashabiki bado ni changamoto. Mfano mechi ya jana (Al Ahly vs Esperance) tena nusu fainali kabisa naona inapigwa bila mashabiki, uwanja mtupu kabisa.
Ndio lkn wakasema wataendelea na utaratibu wa home and awayFainal ya mwaka Jana ilikuwa mechi Moja tu kombe la shirikisho Wala msijitoe fahamu.!
Hivi mfano timu yako inaenda kucheza fainali klabu bingwa Africa nchini cape verde utaenda?Hapo wametumia hiyo mbinu ili kupata pesa kupitia viingilio wana piga kila upande
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Nionyeshe tusi hapoutani kwenye mpira siyo lazima utukana!