MSEZA MKULU
JF-Expert Member
- Jul 22, 2011
- 3,763
- 5,607
Kuna Sababu nyingi kwa nini wayahudi wa Us ni matajiri. 48% ya mabilionea wote US ni wayahudi.
Kinachowafanya wayahudi kutofautiana na wengine sio DNA, au UPendeleo kwa Mungu bali ni Desturi na Mila ambazo wamejitengenezea tokea miaka mingi iliyopita.
Wachambuzi wa mambo wanasema wayahudi ndio wanadamu wa kwanza kupractice globalization miaka mingi iliyopita kabla hata dunia haijajua kama kutakuwa na muingiliano huu wa watu kutoka sehemu mbalimbali duniani. Walitumiana misaada, walihamasishana maendeleo na walijijengea jamii za kuinuana. Walipokuja marekani kitu cha kwanza walitengeneza jamii na mtandao wa kusaidiana wao kwa wao. walipeana misaada,ushauri,kazi wao kwa wao.
Pia wayahudi walikuwa wamebaguliwa duniani kote, Marekani walipoweka sera za Uhuru na kutokubaguana kwa wayahudi huu ulikua ndio mlango wa kuonyeshea bidii zao bila kubughudhiwa.
Wengi walifika US miaka ya 1880 japo walikuwepo wengine kabla ya hapo. walifungua viduka vidogo vidogo hadi kufikia hatua ya kumiliki mifumo mikubwa ya kifedha.Lakini wengi walifika wakiwa masikini wa kutupwa.
Kwa ufupi Walifika wahamiaji wengi kutokanchi nyingi ulaya na asia lakini tofauti kubwa Culture ya wayahudi kupenda kusoma na kujifunza vitu haraka na Culture yao inayokumbatia Ujasiliamali iliwafanya wawe matajiri na watu wenye ushawishi kuliko watu wa jamii nyingine.
Kuna mzee alifika NEW YORK na DOLA MBILI lakini alihakikisha mtoto wake anamaliza PHD kwa Kuuza penseli, kaptula, huku akijifunza lugha zaidi ya tatu wakati huo huo anatengeneza network na watu muhimu.
Ubaguzi tu, ndio uliomzuia Mhayudi asiendelee kwa kipindi chote popote alipo.
Kinachowafanya wayahudi kutofautiana na wengine sio DNA, au UPendeleo kwa Mungu bali ni Desturi na Mila ambazo wamejitengenezea tokea miaka mingi iliyopita.
Wachambuzi wa mambo wanasema wayahudi ndio wanadamu wa kwanza kupractice globalization miaka mingi iliyopita kabla hata dunia haijajua kama kutakuwa na muingiliano huu wa watu kutoka sehemu mbalimbali duniani. Walitumiana misaada, walihamasishana maendeleo na walijijengea jamii za kuinuana. Walipokuja marekani kitu cha kwanza walitengeneza jamii na mtandao wa kusaidiana wao kwa wao. walipeana misaada,ushauri,kazi wao kwa wao.
Pia wayahudi walikuwa wamebaguliwa duniani kote, Marekani walipoweka sera za Uhuru na kutokubaguana kwa wayahudi huu ulikua ndio mlango wa kuonyeshea bidii zao bila kubughudhiwa.
Wengi walifika US miaka ya 1880 japo walikuwepo wengine kabla ya hapo. walifungua viduka vidogo vidogo hadi kufikia hatua ya kumiliki mifumo mikubwa ya kifedha.Lakini wengi walifika wakiwa masikini wa kutupwa.
Kwa ufupi Walifika wahamiaji wengi kutokanchi nyingi ulaya na asia lakini tofauti kubwa Culture ya wayahudi kupenda kusoma na kujifunza vitu haraka na Culture yao inayokumbatia Ujasiliamali iliwafanya wawe matajiri na watu wenye ushawishi kuliko watu wa jamii nyingine.
Kuna mzee alifika NEW YORK na DOLA MBILI lakini alihakikisha mtoto wake anamaliza PHD kwa Kuuza penseli, kaptula, huku akijifunza lugha zaidi ya tatu wakati huo huo anatengeneza network na watu muhimu.
Ubaguzi tu, ndio uliomzuia Mhayudi asiendelee kwa kipindi chote popote alipo.