Sababu kubwa inayomfanya mwanamke aonekane kama victim mbele ya sheria ni ipi?

Sababu kubwa inayomfanya mwanamke aonekane kama victim mbele ya sheria ni ipi?

Cecil J

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2023
Posts
434
Reaction score
1,024
Ukiachana na asili ya dunia kumuonea huruma mwanamke, je, ni ipi sababu ya msingi inayopelekea mwanamke aonekane kama mhanga pale anaposimama kwenye vyombo vya sheria?

Mwanamke na mwanaume ambao ni wanandoa wanapigana-ugomvi wa kawaida, baada ya kufika kwenye chombo cha sheria ghafla chombo cha sheria kinaangukia upande wa mwanamke.

Mwanafunzi wa kiume, 17, amempa mimba mwanafunzi wa kike,17, hukumu imetolewa kwa mwanafunzi wa kiume kwa kupata kifungo cha nje cha miezi 12. Kwanini wasidakwe wote na kutiwa ndani, binti aishi huko jela na kipindi cha ujauzito apewe caring na kumnyonyesha binti yake kwa miaka miwili then baada ya hapo mtoto wa huyo binti arudishwe mtaani?

All in all, it 's just an eejit topic. Wanaume tunakanyagwa sana asa mbele ya Sheria, jambo la msingi ni kuwa smart. Hamna anayejali Ustawi wa mwanaume zaidi ya mwanaume mwenyewe.

Muwe na Jumapili njema 🫡
 
Ukiachana na asili ya dunia kumuonea huruma mwanamke, je, ni ipi sababu ya msingi inayopelekea mwanamke aonekane kama mhanga pale anaposimama kwenye vyombo vya sheria?

Mwanamke na mwanaume ambao ni wanandoa wanapigana-ugomvi wa kawaida, baada ya kufika kwenye chombo cha sheria ghafla chombo cha sheria kinaangukia upande wa mwanamke.

Mwanafunzi wa kiume, 17, amempa mimba mwanafunzi wa kike,17, hukumu imetolewa kwa mwanafunzi wa kiume kwa kupata kifungo cha nje cha miezi 12. Kwanini wasidakwe wote na kutiwa ndani, binti aishi huko jela na kipindi cha ujauzito apewe caring na kumnyonyesha binti yake kwa miaka miwili then baada ya hapo mtoto wa huyo binti arudishwe mtaani?

All in all, it 's just an eejit topic. Wanaume tunakanyagwa sana asa mbele ya Sheria, jambo la msingi ni kuwa smart. Hamna anayejali Ustawi wa mwanaume zaidi ya mwanaume mwenyewe.

Muwe na Jumapili njema 🫡
Wanawake wajanja sana yani sana. We mfano tazama mfumo wa child support wa marekani uanvyowanyanyasa wanaume kabisa.
Halafu tazama 50/50 yao wanaidai pale tu inapowanufaisha wao vinginevyo utasikia wewe ni mwanaume inabidi ufanye. Pesa ya mwanamke ni ya mwanamke tu.
 
Jela zote zimejaa wanaume,

Wezi wote wanaopigwa na kuuawa ni wanaume

Bunduki na silaha zote unazoziona Duniani zimeandaliwa kwasababu ya wanaume

Kazi zote ngumu Kwa wasiosoma ni kwaajili ya wanaume.

Ili uonekane mwamba na shujaa lazima upambane na wanaume.

Hata maandiko matakatifu kwenye Bible yanaonesha mwanaume ndiye kakumbana na mitihani mingi zaidi.

Ibrahim,
Yakobo,
Musa,
Nuhu,
Ayubu,
Samson

Na wengine wengi

Dunia ni ya wanaume bila wanaume hakuna Dunia .

Hivyo kubali mitihani na pambana na kiume ,tena 50 Kwa 50 imezidi kututia matatizoni
 
Ukiachana na asili ya dunia kumuonea huruma mwanamke, je, ni ipi sababu ya msingi inayopelekea mwanamke aonekane kama mhanga pale anaposimama kwenye vyombo vya sheria?

Mwanamke na mwanaume ambao ni wanandoa wanapigana-ugomvi wa kawaida, baada ya kufika kwenye chombo cha sheria ghafla chombo cha sheria kinaangukia upande wa mwanamke.

Mwanafunzi wa kiume, 17, amempa mimba mwanafunzi wa kike,17, hukumu imetolewa kwa mwanafunzi wa kiume kwa kupata kifungo cha nje cha miezi 12. Kwanini wasidakwe wote na kutiwa ndani, binti aishi huko jela na kipindi cha ujauzito apewe caring na kumnyonyesha binti yake kwa miaka miwili then baada ya hapo mtoto wa huyo binti arudishwe mtaani?

All in all, it 's just an eejit topic. Wanaume tunakanyagwa sana asa mbele ya Sheria, jambo la msingi ni kuwa smart. Hamna anayejali Ustawi wa mwanaume zaidi ya mwanaume mwenyewe.

Muwe na Jumapili njema 🫡
WACHA NITOE ELIMU KIDOGO UISLAMU UNAVYO MBANA MWANAMKE NI SAWA SAWA NA UKRISTO MAMBOLEO UNAVYO MBANA MWANAUME ....WAKATI SHERIA ZA WAISLAMU ZINAWAFANYA WANAWAKE WAISHI KWA HOFU SHERIA ZA WAKRISTO NI KINYUME CHAKE TU ZENYEWE ZINAWAFANYA WANAUME WAISHI KWA HOFU...Hadi imefikia kuambiwa kuwa mume anaweza kumbaka mke wake ....ukitazamana na mwanamke unaambiwa umebaka ....msichana akija kukukalia juu yako ukashawishika na mitego yake na yeye yupo chini ya miaka 18 unaambiwa umebaka ....
 
WACHA NITOE ELIMU KIDOGO UISLAMU UNAVYO MBANA MWANAMKE NI SAWA SAWA NA UKRISTO MAMBOLEO UNAVYO MBANA MWANAUME ....WAKATI SHERIA ZA WAISLAMU ZINAWAFANYA WANAWAKE WAISHI KWA HOFU SHERIA ZA WAKRISTO NI KINYUME CHAKE TU ZENYEWE ZINAWAFANYA WANAUME WAISHI KWA HOFU...Hadi imefikia kuambiwa kuwa mume anaweza kumbaka mke wake ....ukitazamana na mwanamke unaambiwa umebaka ....msichana akija kukukalia juu yako ukashawishika na mitego yake na yeye yupo chini ya miaka 18 unaambiwa umebaka ....
Uislamu unambana vipi mwanamke!
 
Uislamu unambana vipi mwanamke!
Kwa sasa hivi duniani kuna uislamu mpya na ukristo mpya ...kama unadhani uislamu wa kipindi cha muhammad ndiyo huu uliopo leo basi jua tuu wewe unaugua magonjwa ya akili kwa sasa hakuna uislamu bali kuna UISIHARAMU na kwenye ukristo ni hivyo hivyo .
 
Kwa sasa hivi duniani kuna uislamu mpya na ukristo mpya ...kama unadhani uislamu wa kipindi cha muhammad ndiyo huu uliopo leo basi jua tuu wewe unaugua magonjwa ya akili kwa sasa hakuna uislamu bali kuna UISIHARAMU na kwenye ukristo ni hivyo hivyo .
Mbona haujajibu swali?
 
Mbona haujajibu swali?
Maswali mbona nimejibu ...waisiharamu wa sasa wanalazimisha ikabu hadi kwa wasichana wasio na ndoa na kusababisha ushoga kuongezeka ... wana jiona wao ni waislamu kuliko mungu na mtume wake
 
Maswali mbona nimejibu ...waisiharamu wa sasa wanalazimisha ikabu hadi kwa wasichana wasio na ndoa na kusababisha ushoga kuongezeka ... wana jiona wao ni waislamu kuliko mungu na mtume wake
Akili zako haziko sawa nenda kauze mbege huko
 
Akili zako haziko sawa nenda kauze mbege huko
Akili zangu ni zakipumbavu kama za muhammad maana na yeye aliyasema haya ninayo yasema hivi hivi kuhusu Waislamu wa zama za mbeleni ...labda wewe unapinganq na mtume wako
 
Sijui
Akili zangu ni zakipumbavu kama za muhammad maana na yeye aliyasema haya ninayo yasema hivi hivi kuhusu Waislamu wa zama za mbeleni ...labda wewe unapinganq na mtume wako
Ila sasa ndiyo indhihirisha akili yako ilivyo sasa
 
Wanawake wajanja sana yani sana. We mfano tazama mfumo wa child support wa marekani uanvyowanyanyasa wanaume kabisa.
Halafu tazama 50/50 yao wanaidai pale tu inapowanufaisha wao vinginevyo utasikia wewe ni mwanaume inabidi ufanye. Pesa ya mwanamke ni ya mwanamke tu.
Hiyo child support hapewi mwanamke tuu, hata mwanaume ikiwa ataishi na watoto mwanamke huamriwa atoe child support.
 
Hiyo child support hapewi mwanamke tuu, hata mwanaume ikiwa ataishi na watoto mwanamke huamriwa atoe child support.
It is different inapokuja kwa mwanamke na mwanaume... Sasa hivi imekuwa kama mradi wka wanawake. We fikiria mtu kama tyrese ela aliyoamriwa awe analipa kila mwezi kwa eti child support, wakati nyumba aliyomwachia huyo ex aliyeomba taraka anaishi na ex wake aliyekuwa naye kabla ya tyrese na bado wanatumia pesa yake kuendeleza maisha yao ya anasa.
 
Ukiachana na asili ya dunia kumuonea huruma mwanamke, je, ni ipi sababu ya msingi inayopelekea mwanamke aonekane kama mhanga pale anaposimama kwenye vyombo vya sheria?

Mwanamke na mwanaume ambao ni wanandoa wanapigana-ugomvi wa kawaida, baada ya kufika kwenye chombo cha sheria ghafla chombo cha sheria kinaangukia upande wa mwanamke.

Mwanafunzi wa kiume, 17, amempa mimba mwanafunzi wa kike,17, hukumu imetolewa kwa mwanafunzi wa kiume kwa kupata kifungo cha nje cha miezi 12. Kwanini wasidakwe wote na kutiwa ndani, binti aishi huko jela na kipindi cha ujauzito apewe caring na kumnyonyesha binti yake kwa miaka miwili then baada ya hapo mtoto wa huyo binti arudishwe mtaani?

All in all, it 's just an eejit topic. Wanaume tunakanyagwa sana asa mbele ya Sheria, jambo la msingi ni kuwa smart. Hamna anayejali Ustawi wa mwanaume zaidi ya mwanaume mwenyewe.

Muwe na Jumapili njema 🫡
Cc: Dkt. Gwajima D hili suala lafaa kulifanyia kazi
 
Back
Top Bottom