Ugandamizaji unaofanya na mfumo wa kiislamu dhidi ya wanawake ndiyo huo huo ugandamizaji unaofanywa na mfumo wa Kikisto dhidi ya wanaume ni kinyume chake tu ....utafahamu tu ukiwa na AkiliIt is different inapokuja kwa mwanamke na mwanaume... Sasa hivi imekuwa kama mradi wka wanawake. We fikiria mtu kama tyrese ela aliyoamriwa awe analipa kila mwezi kwa eti child support, wakati nyumba aliyomwachia huyo ex aliyeomba taraka anaishi na ex wake aliyekuwa naye kabla ya tyrese na bado wanatumia pesa yake kuendeleza maisha yao ya anasa.
Hiyo ndio "sheria" wayopambania hawa wanaharakati wa mchongo.It is different inapokuja kwa mwanamke na mwanaume... Sasa hivi imekuwa kama mradi wka wanawake. We fikiria mtu kama tyrese ela aliyoamriwa awe analipa kila mwezi kwa eti child support, wakati nyumba aliyomwachia huyo ex aliyeomba taraka anaishi na ex wake aliyekuwa naye kabla ya tyrese na bado wanatumia pesa yake kuendeleza maisha yao ya anasa.
Kuna wajinga miaka ya nyuma walioshika madaraka mapema ndio waliotengeneza hayo mambo awaliUkiachana na asili ya dunia kumuonea huruma mwanamke, je, ni ipi sababu ya msingi inayopelekea mwanamke aonekane kama mhanga pale anaposimama kwenye vyombo vya sheria?
Mwanamke na mwanaume ambao ni wanandoa wanapigana-ugomvi wa kawaida, baada ya kufika kwenye chombo cha sheria ghafla chombo cha sheria kinaangukia upande wa mwanamke.
Mwanafunzi wa kiume, 17, amempa mimba mwanafunzi wa kike,17, hukumu imetolewa kwa mwanafunzi wa kiume kwa kupata kifungo cha nje cha miezi 12. Kwanini wasidakwe wote na kutiwa ndani, binti aishi huko jela na kipindi cha ujauzito apewe caring na kumnyonyesha binti yake kwa miaka miwili then baada ya hapo mtoto wa huyo binti arudishwe mtaani?
All in all, it 's just an eejit topic. Wanaume tunakanyagwa sana asa mbele ya Sheria, jambo la msingi ni kuwa smart. Hamna anayejali Ustawi wa mwanaume zaidi ya mwanaume mwenyewe.
Muwe na Jumapili njema 🫡
Hii 50/50 wanaipambania wakina nani mbele ya wanaume? Hizi mambo za hovyo kweli aisee?Jela zote zimejaa wanaume,
Wezi wote wanaopigwa na kuuawa ni wanaume
Bunduki na silaha zote unazoziona Duniani zimeandaliwa kwasababu ya wanaume
Kazi zote ngumu Kwa wasiosoma ni kwaajili ya wanaume.
Ili uonekane mwamba na shujaa lazima upambane na wanaume.
Hata maandiko matakatifu kwenye Bible yanaonesha mwanaume ndiye kakumbana na mitihani mingi zaidi.
Ibrahim,
Yakobo,
Musa,
Nuhu,
Ayubu,
Samson
Na wengine wengi
Dunia ni ya wanaume bila wanaume hakuna Dunia .
Hivyo kubali mitihani na pambana na kiume ,tena 50 Kwa 50 imezidi kututia matatizoni
Jawabu lililobaki ni kuendelea kuwaweka wanawake kwenye kundi la bidhaa na kuwatumia mpaka mwisho. Tusipate maumivu kwa ajili ya wanawake.Kwa sababu bado Ipo dhana kuwa Wanawake siô Watu Bali Bidhaa au Wanyama.
Hivyo Kisheria Mtu na Bidhaa Wana hadhi tofauti.. ingawaje watakataa ukweli huu.
Ikifika hatua Mwanamke akawa Mtu kama Mwanaume Swali Lako automatically litakuwa halipo
nilidhan una hoja kumbe ni matusi tu na chuki iliyokujaa, nikuongeze tu kuwa hakuna dini iliyompa thamani mtoto wa kike na mwanamke zaid ya uislamu, shida yenu munataka kila mtu aishi kama wazungu ndio munapokosea hapo, ufuatilie uislamu kwa waislam achana na maneno ya mashabiki wa uislamu. (allah akuongoze)Maswali mbona nimejibu ...waisiharamu wa sasa wanalazimisha ikabu hadi kwa wasichana wasio na ndoa na kusababisha ushoga kuongezeka ... wana jiona wao ni waislamu kuliko mungu na mtume wake
Nchi zilizoendelea pesa zote za familia anapokea mwanamke .mfumo umewalenga waoWanawake wajanja sana yani sana. We mfano tazama mfumo wa child support wa marekani uanvyowanyanyasa wanaume kabisa.
Halafu tazama 50/50 yao wanaidai pale tu inapowanufaisha wao vinginevyo utasikia wewe ni mwanaume inabidi ufanye. Pesa ya mwanamke ni ya mwanamke tu.