Sio kazi yanguFafanua na ile ya Simba kula Tano
Mahesabu unayoongelea ndio yale tuliyoyaona akihesabu wachezaji ndani mara mbili mbili na kupaniki baada ya kuona goli halirudi?1.Ushindi 1-0 kwa Yanga , maana yake Al hilal kivyovyote ataongoza Kundi
2.Yalitosha kumpa Yanga points zitakazoweza kumvusha endapo atashinda mechi yake ya Leo .
Mahesabu makali ya Ibenge yamewapa Yanga unafuu wa kusonga mbele
Wewe si ni Kiemba wa JF mkuuSio kazi yangu
😁😁Fafanua na ile ya Simba kula Tano
Fafanua na ile ya Simba kula Tano
Acha ukorofi mkuuView attachment 3205032
Ilikua kama hivyo
Kwahiyo hii ya Ibenge ndo kazi yako..!!Sio kazi yangu
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Acha ukorofi mkuu
Ili tumchukue mapema tuBasi tucheze na nyie atakae shinda aende robo
Maana kila timu ikicheza na Yanga inahongwa, basi tuwe tunacheza nao kila mechiIli tumchukue mapema tu
Si sahihi kusema ki vyovyote Al Hilal ataongoza kundi hata kama atafungwa na Mazembe. Al Hilal ana point 10 na akifungwa na Mazembe ataendelea kubaki na 10. MC Alger akifikisha point 11 ndiye atakayeongoza kundi.1.Ushindi 1-0 kwa Yanga , maana yake Al hilal kivyovyote ataongoza Kundi hata akifungwa na Mazembe
Hili swali hawezi kulijibu kwa ufasaha. Maana litamfunga.Kwahi hii ya Ibenge ndo kazi yako..!!
Uko sahihiSi sahihi kusema ki vyovyote Al Hilal ataongoza kundi hata kama atafungwa na Mazembe. Al Hilal ana point 10 na akifungwa na Mazembe ataendelea kubaki na 10. MC Alger akifikisha point 11 ndiye atakayeongoza kundi.
Mwaka gani ilikuwa,ongea vitu current banaFafanua na ile ya Simba kula Tano