Sababu kuu mbili zinazoweza kumfanya mwanaume asimsaliti mkewe

Sababu kuu mbili zinazoweza kumfanya mwanaume asimsaliti mkewe

Umejuaje ama una uhakika gani ni 80%?

Huoni kwamba unachochea dhana potofu na unyanyasaji wa kijinsia kwa wanaume?
 
Naongezea hapo kwenye asilimia ,90% ya wanaume wengi wanacheat.

Hiyo sababu yako kuwa mwanaume ambaye hana pesa hacheat ni haina mashiko zama hizi. Kuna wanawake hawaihitaji pesa zaidi ya "show " tuu.
 
Naongezea hapo kwenye asilimia ,90% ya wanaume wengi wanacheat.

Hiyo sababu yako kuwa mwanaume ambaye hana pesa hacheat ni haina mashiko zama hizi. Kuna wanawake hawaihitaji pesa zaidi ya "show " tuu.
Wale wanawake Ni " exceptional cases" na Ni wachache Sana.
 
K
We kima unadhani hii Ni Facebook ambayo unatukana tukana hovyo.

Jifunze kupangua hoja kwa kutumia hoja.Acha kutumia Kichwa Kama kifuniko Cha shingo kijana.
Kichwa kuitwa KIfuniko cha shingo sio tusi boss?
 
Back
Top Bottom