Sababu kuu ya Gazeti la Tanzania Daima kunyang'anywa leseni ni hofu ya CCM kuhusu kuangukia pua kwenye Uchaguzi Mkuu

Uchaguzi wa mwaka huu ni lazima ulete jambo jipya Tanzania .
 
Na hapo ndio huwa nasema sifa ya kwanza ya kiongozi inatakiwa ASIWE MSHAMBA.

UJINGA UNAZIDI SASA
 
Hakuna njia inayoweza kutumiwa na vyama vya upinzani, hasa wakati huu kuelekea kwenye uchaguzi kuyapunguza spidi hayo magazeti yanayoandika habari za kuabudu?

Kuna mamilioni ya wanachama na wapenzi wa vyama hivi, hawawezi kuhamasishwa kuacha kuyachangia haya magazeti?

CCM wameifanya hii kuwa vita, kwa nini msitafute kila njia ya kuwakabili kila sehemu wanakogeukia?

Hii ndiyo njia pekee inayotakiwa kutumika wakati huu. Mapigo yanajibiwa papo kwa hapo bila kuchelewa.

Wekeni staha pembeni, hawa sio watu wa kuwapa heshima hata kidogo..
 
Useless thinking.
Gazeti siyo muhimu kwenye ulimwengu wa e news.
 
Huyu jamaa ni kama Idd Amin Dadaa tu.
 

Attachments

  • Mkoloni Mweusi.jpg
    54.1 KB · Views: 1
Mkuu hapo kwa Yesu unapomzungumzia yesu huyu tumia herufi ndogo ili kumtofautisha na Yesu Mnazarethi.
 
Tayari kazi imeanza
 
Endelea kutunga uongo
 
Yale mafuriko ya Lowasa, hayakumweka madarakani, ndio hivi leo umeme kila mahali, std geji, hospitali, barabara, ndege etc ccm itolewe madarakani, au baadae mtakuja sema mmeibiwa kura na tume sio huru!
 
Yale mafuriko ya Lowasa, hayakumweka madarakani, ndio hivi leo umeme kila mahali, std geji, hospitali, barabara, ndege etc ccm itolewe madarakani, au baadae mtakuja sema mmeibiwa kura na tume sio huru!
Hoja ya kijinga sana ! umeishia darasa la ngapi ? ajira hakuna na uchumi umekufa lakini unakenua tu !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…