Ni kweli kabisa halimtukuzi yesu. Bali linamtukuza anaelimiliki.Hilo la kufungiwa kwa Tanzania daima nilikutegemea sana, maana hilo gazeti halimtukuzi Yesu. Na kuelekea uchaguzi mkuu, vyombo vyovyote rasmi vya habari vitadhibitiwa, na vitatakiwa kuhubiri mambo ya Yesu tu na ccm yake, kwa kisingizio cha maslahi ya nchi.
Linaandika anachopenda mmilikiHaliandiki uzushi, bali linaandika asichopenda Yesu.
Tanzania Daima halijawahi kuwa gazeti makini. Mbona hawalifungii Mwananchi. Umeshawahi kuona Mwananchi linaisifia Serikali?"Serikali ya awamu ya 5 kwa miaka yote iliyoingia madarakani imekuwa ikifungia Magazeti yote makini yanayokosoa utendaji mbovu , uonevu na ukiukwaji wa haki za binadamu uliokithiri kuliko wakati wote tangu wakoloni waondoke nchini Tanzania"
Mkuu, by the quotation above, you have nailed it.
Kwa iyo nani ataleta!Hoja ya kijinga sana ! umeishia darasa la ngapi ? ajira hakuna na uchumi umekufa lakini unakenua tu !
Pamoja sana[emoji2936][emoji2935]Nashukuru kwa masahihisho.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lipo wazi Hilo, sababu kuu ndo hio.Hii ndio sababu kuu kuliko zote , hizo zingine ni porojo tu
Serikali ya awamu ya 5 kwa miaka yote iliyoingia madarakani imekuwa ikifungia Magazeti yote makini yanayokosoa utendaji mbovu , uonevu na ukiukwaji wa haki za binadamu uliokithiri kuliko wakati wote tangu wakoloni waondoke nchini Tanzania .
Mawio na MwanaHalisi ni miongoni mwa Magazeti yaliyoshindwa kutukuza watawala kizandiki na kumuabudu binadamu kama Mungu alivyoelekeza , yalikuwa ni wahanga wa kwanza wa uharamia uliosimamiwa kikamilifu na Dr Abbas ( ambaye siku ikifika atalipia uharamia huu maana hana kinga yoyote )
Tanzania Daima imeliwa Timing muda mrefu sana na ilikuwa inalindwa na jumuiya za kimataifa tu (nitafafanua ) , sasa kwa vile ccm ina hofu ya kuangukia pua kwenye uchaguzi mkuu wameamua kuondoa gazeti pekee linaloweza kuandika habari za siasa kwa usahihi na kubakisha vikaragosi vyao .
Nawakumbusha kwamba hakuna mahali popote katika dunia hii ambapo SHETANI ALIWAHI KUMSHINDA MUNGU .
Itaendelea .....
Linafichua uovu wa ccmLilikuwa gazeti la hovyo sana