Sababu kuu ya Gazeti la Tanzania Daima kunyang'anywa leseni ni hofu ya CCM kuhusu kuangukia pua kwenye Uchaguzi Mkuu

Ni kweli kabisa halimtukuzi yesu. Bali linamtukuza anaelimiliki.
 
Tanzania Daima halijawahi kuwa gazeti makini. Mbona hawalifungii Mwananchi. Umeshawahi kuona Mwananchi linaisifia Serikali?
 
Lipo wazi Hilo, sababu kuu ndo hio.
 
Ukiona mtu hata anaota CCM kuangukia pua 2020 unapaswa utilie shaka fuse zake kichwani kama ni nzima au zimeshaungua.

Kwa mwenendo wa siasa za nchi CCM bado ina miongo kadhaa madarakani.
 
Magazeti ninayonunua yote ni bora. Sijawahi kusoma hata kutazama fronts za gazeti hili. Nadhani ni la hovyo, lifungwe tuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…