Uchaguzi 2020 Sababu kuu ya Lissu kushindwa, asilimia 80 ya Watanzania wanaishi Vijijini hawamjui Lissu ni nani, Magufuli anajulikana kila kona Vijijini

Uchaguzi 2020 Sababu kuu ya Lissu kushindwa, asilimia 80 ya Watanzania wanaishi Vijijini hawamjui Lissu ni nani, Magufuli anajulikana kila kona Vijijini

Kilimanjaro na Arusha wengi walichoma kadi za kupigia kura na kuapa hawaji piga kura baada ya Lowasa kupigwa chini nenda mwenyewe kawahoji Chadema waliopiga kura 2015 hawataki kupiga kura tena.Kazi mnayo kuwahamasisha warudi kupiga kura tena

Nendeni wenyewe mkahoji muwaulize Chadema waliopiga kura 2015 kuwa utaenda kupiga kura?

Mikoa hiyo ya kaskazini ilikuwa ngome ya Lowasa aki ji brand kama mwamba wa kaskazini na alishinda kura nyingi za asante mwanetu .Lisu sio brand nane ya kaskazini ,Hana brand name kanda yeyote!! Magufuli ni Brand Name ya Kanda ya Ziwa.Tundu Lisu hakujenga brand name hata ya kanda yake tu ili akitaka kugombea uraisi awe ana brand kubwa na ngome kanda fulani!! kwake hakuijenga hana kanda!! anategemea abebwe mgongoni na mbeleko kwenye hizo kanda!!! Na mbowe uwezo wa kumbeba Lisu kanda ya kaskazini mwisho kilimanjaro .Arusha na Manyara ni ngome za Lowasa na Sumaye ambao chadema waliondoka bila hata kuambiwa asante .Wenyewe wana hasira na Chadema wenye watoto wao hivyo Mbowe ubavu hana wa kumbeba Lisu Mikoa ya Arusha na Manyara.Masai mtu wao Lowasa ambaye CHadema walimtema Lisu Hawamjui

Kanda zingine zote hakuna kiongozi mwenye brand name wa kumbeba Lisu Ukiondoa tu Mbowe lakini kanda zingine hamna kitu watu wanajulikana tu kwenye majimbo yao Sio kanda .Lisu angekuwa alijiandaa uraisi alitakiwa kujenga brand name very strong walau kwenye kanda moja na kuwa household name .Kujihakikishia kuwa hiyo kanda ndio ngome yake ya kumbeba lakini hana! anategemnea kura za huruma za kuokoteza hapa na pale!!! Very wrong political strategy

Kiufupi hakujiandaa kuwa Raisi .Duniani kote hakuna uraisi wa kushtukiza watu hujiandaa kwa muda mrefu kwa strategy strong
Nyerere dhidi ya Wakoloni Weupe wa karne ya 19 na 20.

Lisu dhidi ya Wakoloni Weusi wa Karne 21.

Uchaguzi huu hautakua rahisi kama walivyotegemea watoa rushwa za vyeo ,madaraka na fedha.

Miaka mitano ya CCM kujinadi peke yake lakini bado kuna hofu.
Hii tafsiri yake ni kwamba CCM imechokwa na watu .
Mh.Rais ameibeba CCM vya kutosha mpaka ikawa dhambi sasa. atakayeshindwa kwa haki asilalamike wala asitegemee kubebwa na Tume.

Haki ikitendeka kwenye uchaguzi hata CCM ikishindwa au ikishinda bado itakua ni Sifa kwa Rais wa awamu hii kusimamia haki katika Taifa. Ni thawabu kubwa.

Hii miaka ni mibaya sana kwa wanadamu wanaodhulumu . Ufalme wa Mungu uko mlangoni.
 
Pigo kuu la pili la Lisu litatoka kanda ya ziwa nyumbani kwa Magufuli.Kanda ya ziwa ndiko kuna wapiga kura karibu nusu ya wapiga kura wote Tanzania kutokana na population yao ,
Kule ni ngome ya CCM na kwao Magufuli na ndiko alikopata kura nyingi uchaguzi uliopita

Kanda ya ziwa ndiko huamua nani awe mshindi sababu kuna wapiga kura wengi kuliko popote Tanzania
Sikubaliani nawe ukisema pigo hii sio vita Ni ushindanishi wa sera, uchaguzi uwe buru tu akishindwa/akishinda yote sawa tu,
 
Hizo ni porojo za CCM kudai asilimia 80 ya watanzania wanaishi vijijini, Ili waweze kuleta mabox ya kura ambazo wamejipigia wenyewe. safari hii huo ubeti umegoma
 
Brand, brand peleka kwa wasanii huko, cc huku ni kumtosa yohana na jiwe shingoni
Kilimanjaro na Arusha wengi walichoma kadi za kupigia kura na kuapa hawaji piga kura baada ya Lowasa kupigwa chini nenda mwenyewe kawahoji Chadema waliopiga kura 2015 hawataki kupiga kura tena.Kazi mnayo kuwahamasisha warudi kupiga kura tena

Nendeni wenyewe mkahoji muwaulize Chadema waliopiga kura 2015 kuwa utaenda kupiga kura?

Mikoa hiyo ya kaskazini ilikuwa ngome ya Lowasa aki ji brand kama mwamba wa kaskazini na alishinda kura nyingi za asante mwanetu .Lisu sio brand nane ya kaskazini ,Hana brand name kanda yeyote!! Magufuli ni Brand Name ya Kanda ya Ziwa.Tundu Lisu hakujenga brand name hata ya kanda yake tu ili akitaka kugombea uraisi awe ana brand kubwa na ngome kanda fulani!! kwake hakuijenga hana kanda!! anategemea abebwe mgongoni na mbeleko kwenye hizo kanda!!! Na mbowe uwezo wa kumbeba Lisu kanda ya kaskazini mwisho kilimanjaro .Arusha na Manyara ni ngome za Lowasa na Sumaye ambao chadema waliondoka bila hata kuambiwa asante .Wenyewe wana hasira na Chadema wenye watoto wao hivyo Mbowe ubavu hana wa kumbeba Lisu Mikoa ya Arusha na Manyara.Masai mtu wao Lowasa ambaye CHadema walimtema Lisu Hawamjui

Kanda zingine zote hakuna kiongozi mwenye brand name wa kumbeba Lisu Ukiondoa tu Mbowe lakini kanda zingine hamna kitu watu wanajulikana tu kwenye majimbo yao Sio kanda .Lisu angekuwa alijiandaa uraisi alitakiwa kujenga brand name very strong walau kwenye kanda moja na kuwa household name .Kujihakikishia kuwa hiyo kanda ndio ngome yake ya kumbeba lakini hana! anategemnea kura za huruma za kuokoteza hapa na pale!!! Very wrong political strategy

Kiufupi hakujiandaa kuwa Raisi .Duniani kote hakuna uraisi wa kushtukiza watu hujiandaa kwa muda mrefu kwa strategy strong
 
Chadema wamekuwa wakijipa matumaini hewa kuhusu mgombea wao Lisu kushinda wakisema yuko popular sana.Wakisema wanalalia mtaji wa kura za 2015 ambapo Lowasa alipata kura milioni sita

Kitu kimoja wanasahau Lowasa alikuwa waziri mkuu muda mrefu na waziri aliyejulikana sana vijijini ambako asilimia 80 ya watanzania ndiko wanaishi ndio sababu yake moja kubwa kuzoa kura nyingi

Raisi Magufuli anafahamika vijiji vyote Tanzania nzima na ndiko wapiga kura wengi walioko sio mijini

Hata mijini Lisu anajulikana miji michache hasa kwa vijana wanaoshinda mitandaoni hasa wa Dar es salaam ambao wengi hata kujiandikisha kupiga kura wengi hawajajiandikisha ni washabiki tu wa siasa za mitandaoni

Pigo kuu la kubwagwa Lisu litatoka vijijini .Natoa siri ya wazi kabisa bila kuficha .Vijijini huyu Lisu hawamjui.Ofisi za CCM ZIKO KILA kijiji na hakuna mwanakijij asiyemjua Magufuli ni nani.Chadema waliwekeza viofisi vya hapa na pale vya kuzuga kwa msajili mijini viofisi vichache tu lakini vijini vijiji vingi hawako huko ndiko pigo zito la Lisu litatokea

Ndio maana hata mapokezi yake utakuta walikuwa wengi vijana wadogo hakukuwa na watu wazima na hata maeneo aliyopita watu walikuwa kama wakimashangaa hivi na watu wazima walikuwa wala hawana hamasa naye ni vijana mmoja mmoja tu pembeni mwa barabara alimopita walioonyesha hisia za kumshangilia hapa na pale ikamlazimisha mpiga kamera afiche kupiga kamera kwa aibu akawa haonyeshi kabisa walio pembeni mwa barabara msafara unamopita .Kamera yake ikajikita tu kwenye vijana walioko kwenye msafara wake anayebisha aangalie hizo video za msafara wake toka uwanja wa ndege hadi makao makuu kinondoni camera imekwepa kabisa kuonyesha watu waliojipanga kando ya barabara kuogopa aibu sababu hawakuwepo na waliokuwepo hawakuonyesha hisia za kumshangilia angalia kamera inawaonyesha walioko barabarani tu ambao wengi walikodiwa kumsindikiza.Mpiga picha yeyote akiangalia tu anajua walipiga picha tu za kudanganya wazungu pembeni mwa barabara hakuwa na washangiliaji!!! Pamoja na jiji la Dar kuwa na umati wa watu ful time
Angalia usanii wa Chadema Lisu anapungia mikono wasindikizaji pembeni mwa barabara hakuna wapungia mikono .


Who is lowasa
 
Sumaye na lowassa ni wa lini chadema hadi kuifanya kanda ya kaskazini kuwa ngome ya chadema? Ndo maana hadi na kesho huwa jamaa wenu wa ccm hanaga mazoea ya kwenda arusha ,Kilimanjaro au manyara maana anaweza kukutana na aibu watu wa kaskazini cyo wale ambao utawalazimisha kwenda kumpokea mtu kama mlivofanya huko Zanzibar aje ajionee ,, Juzi kati malijitahidi kuwaambia watu waendee kwenye uzinduzi Na Waziri jaffo alichokutana nacho ni yeye tu anajua hadi kaanza kutumbua kisa watu wamegoma kwenda kwenye uzinduzi wake
Haya kanda ya ziwa mumesahau chadema wati wakipokufa kea meli kuzama hamkukanyaga msibani mumesahau Hilo? Kule hawajasahau .

Hilo tetemeko lilikuwa mikoa yote ya Kanda ya ziwa au kisehemu tu Cha mji? Kanda mbeya unaongelea ipi kwa yuke mkoloni mkinga Sugu alikuja kutawala Watu wenyeji wa Mbaya ambaye anaenda mkoloni yule kuondolrwa na mzawa wa mbeya Tulia Ackson?

Manyara na Arusha Watu wao waliofanya chadema iwake Ni Dk Slaa,Lowasa na Sumaye .Baada ya wao kuondoka Chadema bila nyie kuwaaga hata kuwaambia Asante kule hakuna ngome ya Chadema Tena

Kilimanjaro Baada ya kifo Cha Ndesamburo mwamba wa Kilimanjaro na mfandhili mkuu wa Chadema haina nguvu Tena.Mbowe ndio anahangaika kupigana na hali yake jimboni kwake kujinusuru

Kipindi Cha uchaguzi hatakuwa na muda Sana wa kuzungumza kumnadi Lisu sababu kwake naye kunawaka Moto kunamngoja hivyo Lisu ajipange kisaikolojia kupambana na hali yake sababu viongozi wengi wa kamati kuu akiwemo Mwenyekiti chadema taifa ana Jimbo la kijuipigania hawezi jigawa kwake kukadoda
 
Pigo kuu la pili la Lisu litatoka kanda ya ziwa nyumbani kwa Magufuli.Kanda ya ziwa ndiko kuna wapiga kura karibu nusu ya wapiga kura wote Tanzania kutokana na population yao ,
Kule ni ngome ya CCM na kwao Magufuli na ndiko alikopata kura nyingi uchaguzi uliopita

Kanda ya ziwa ndiko huamua nani awe mshindi sababu kuna wapiga kura wengi kuliko popote Tanzania
Ukanda na udini hautawaacha salama CCM.
 
Huko kanda ya ziwa pia ni huku:

Madhila ya Barabara Rusahunga -Rusumo

Ipo tofauti ya kanda ya ziwa, Chatto na usukumani wasikoelimika yaani ambako ujinga tololo ndiyo kwao. Rejea tafiti za TWAWEZA.
Umetoa hoja ya kijinga sana kuhusisha ukabila kwenye hoja yako.

Usukumani huko kanda ya ziwa ndiyo waliompa kura nyingi Mrema 1995 kuliko kanda nyingine.

Ndiyo hao hao waliombeba Dr Slaa 2010 na kuipa CHADEMA viti 7 vya wabunge.

Ndiyo hao hao waliompa kura nyingi Lowassa licha ya Magufuli kutoka kanda hiyo hiyo.

Wasukuma wa kanda ya ziwa ni wanamageuzi kuliko kanda nyingine yoyote na ni objective voters.

Acheni kuropoka bila utafiti.
 
Pigo kuu la pili la Lisu litatoka kanda ya ziwa nyumbani kwa Magufuli.Kanda ya ziwa ndiko kuna wapiga kura karibu nusu ya wapiga kura wote Tanzania kutokana na population yao ,
Kule ni ngome ya CCM na kwao Magufuli na ndiko alikopata kura nyingi uchaguzi uliopita

Kanda ya ziwa ndiko huamua nani awe mshindi sababu kuna wapiga kura wengi kuliko popote Tanzania

Unajua aje kama wote wamejiandikisha au unatengeneza ukanda na ukabila?
 
Hata hapa wanaokushambulia ni walewale unaosema wanamfariji Tundu Lissu wanapeana nguvu ambayo haitakwepo siku ya kupiga kura maana siku hiyo wao watashinda mitandaoni kutaka kujua kinachojiri ndo anguko kubwa la Lisu litakapotokea hadi atakimbia nchi hii kwa aibu
 
Chadema wamekuwa wakijipa matumaini hewa kuhusu mgombea wao Lisu kushinda wakisema yuko popular sana.Wakisema wanalalia mtaji wa kura za 2015 ambapo Lowasa alipata kura milioni sita

Kitu kimoja wanasahau Lowasa alikuwa waziri mkuu muda mrefu na waziri aliyejulikana sana vijijini ambako asilimia 80 ya watanzania ndiko wanaishi ndio sababu yake moja kubwa kuzoa kura nyingi

Raisi Magufuli anafahamika vijiji vyote Tanzania nzima na ndiko wapiga kura wengi walioko sio mijini

Hata mijini Lisu anajulikana miji michache hasa kwa vijana wanaoshinda mitandaoni hasa wa Dar es salaam ambao wengi hata kujiandikisha kupiga kura wengi hawajajiandikisha ni washabiki tu wa siasa za mitandaoni

Pigo kuu la kubwagwa Lisu litatoka vijijini .Natoa siri ya wazi kabisa bila kuficha .Vijijini huyu Lisu hawamjui.Ofisi za CCM ZIKO KILA kijiji na hakuna mwanakijij asiyemjua Magufuli ni nani.Chadema waliwekeza viofisi vya hapa na pale vya kuzuga kwa msajili mijini viofisi vichache tu lakini vijini vijiji vingi hawako huko ndiko pigo zito la Lisu litatokea

Ndio maana hata mapokezi yake utakuta walikuwa wengi vijana wadogo hakukuwa na watu wazima na hata maeneo aliyopita watu walikuwa kama wakimashangaa hivi na watu wazima walikuwa wala hawana hamasa naye ni vijana mmoja mmoja tu pembeni mwa barabara alimopita walioonyesha hisia za kumshangilia hapa na pale ikamlazimisha mpiga kamera afiche kupiga kamera kwa aibu akawa haonyeshi kabisa walio pembeni mwa barabara msafara unamopita .Kamera yake ikajikita tu kwenye vijana walioko kwenye msafara wake anayebisha aangalie hizo video za msafara wake toka uwanja wa ndege hadi makao makuu kinondoni camera imekwepa kabisa kuonyesha watu waliojipanga kando ya barabara kuogopa aibu sababu hawakuwepo na waliokuwepo hawakuonyesha hisia za kumshangilia angalia kamera inawaonyesha walioko barabarani tu ambao wengi walikodiwa kumsindikiza.Mpiga picha yeyote akiangalia tu anajua walipiga picha tu za kudanganya wazungu pembeni mwa barabara hakuwa na washangiliaji!!! Pamoja na jiji la Dar kuwa na umati wa watu ful time
Angalia usanii wa Chadema Lisu anapungia mikono wasindikizaji pembeni mwa barabara hakuna wapungia mikono .

Maelezo yako hayo yanaonesha kiwango cha uelewa wako
Hukumbuki mapokezi yalizuiliwa?
 
Kahawa sh 1000 kg halafu unakuja na swaga za humjui magufuli for what? Ninasema kandayaziwa unayoiongelea labda ya chato ss walima kahawa tumeamua kwa kauli moja ni #yeye lisu usituambie kitu alaaaah!
 
Mkuu umesema jana wakati anatangazwa kuwa Mgombea wao, nilikuwa Jijini Mwanza yaani sikuona shamrashamra zozote , yaani watu walikuwa wanaendelea na shughuli zao Kama kawaida.
 
Chadema wamekuwa wakijipa matumaini hewa kuhusu mgombea wao Lisu kushinda wakisema yuko popular sana.Wakisema wanalalia mtaji wa kura za 2015 ambapo Lowasa alipata kura milioni sita.

Kitu kimoja wanasahau Lowasa alikuwa waziri mkuu muda mrefu na waziri aliyejulikana sana vijijini ambako asilimia 80 ya watanzania ndiko wanaishi ndio sababu yake moja kubwa kuzoa kura nyingi.

Raisi Magufuli anafahamika vijiji vyote Tanzania nzima na ndiko wapiga kura wengi walioko sio mijini.

Hata mijini Lisu anajulikana miji michache hasa kwa vijana wanaoshinda mitandaoni hasa wa Dar es salaam ambao wengi hata kujiandikisha kupiga kura wengi hawajajiandikisha ni washabiki tu wa siasa za mitandaoni.

Pigo kuu la kubwagwa Lisu litatoka vijijini .Natoa siri ya wazi kabisa bila kuficha .Vijijini huyu Lisu hawamjui.Ofisi za CCM ZIKO KILA kijiji na hakuna mwanakijij asiyemjua Magufuli ni nani.Chadema waliwekeza viofisi vya hapa na pale vya kuzuga kwa msajili mijini viofisi vichache tu lakini vijini vijiji vingi hawako huko ndiko pigo zito la Lisu litatokea.

Ndio maana hata mapokezi yake utakuta walikuwa wengi vijana wadogo hakukuwa na watu wazima na hata maeneo aliyopita watu walikuwa kama wakimashangaa hivi na watu wazima walikuwa wala hawana hamasa naye ni vijana mmoja mmoja tu pembeni mwa barabara alimopita walioonyesha hisia za kumshangilia hapa na pale ikamlazimisha mpiga kamera afiche kupiga kamera kwa aibu akawa haonyeshi kabisa walio pembeni mwa barabara msafara unamopita .

Kamera yake ikajikita tu kwenye vijana walioko kwenye msafara wake anayebisha aangalie hizo video za msafara wake toka uwanja wa ndege hadi makao makuu kinondoni camera imekwepa kabisa kuonyesha watu waliojipanga kando ya barabara kuogopa aibu sababu hawakuwepo na waliokuwepo hawakuonyesha hisia za kumshangilia angalia kamera inawaonyesha walioko barabarani tu ambao wengi walikodiwa kumsindikiza.

Mpiga picha yeyote akiangalia tu anajua walipiga picha tu za kudanganya wazungu pembeni mwa barabara hakuwa na washangiliaji!!! Pamoja na jiji la Dar kuwa na umati wa watu ful time

Angalia usanii wa Chadema Lissu anapungia mikono wasindikizaji pembeni mwa barabara hakuna wapungia mikono .



Wewe na wenzako ndio hamumjui LISSU.
Rais hachagulikwi kwa kujulikana bali kwa SERA.

Watanzania kwa miaka hii 5 wamejuta, makampuni yamekufa, mahoteli yamekufa, viwanda vimefungwa huku vyerehani za kurepea nguo za mitumba zikiongezeka.
Watu wamelazimishwa kuhamia Dodoma na gharama za maish HUKO Zzimekuwa kubwa na hakuna mantiki ya kwenda huko huku serikali ikiacha majengo yake yenye dhamani ya ma-trilioni yakioza DAr es salaam.
watu wamebambikiziwa kesi, si wa mjini tu , hata vijijini.
 
Chadema wamekuwa wakijipa matumaini hewa kuhusu mgombea wao Lisu kushinda wakisema yuko popular sana.Wakisema wanalalia mtaji wa kura za 2015 ambapo Lowasa alipata kura milioni sita.

Kitu kimoja wanasahau Lowasa alikuwa waziri mkuu muda mrefu na waziri aliyejulikana sana vijijini ambako asilimia 80 ya watanzania ndiko wanaishi ndio sababu yake moja kubwa kuzoa kura nyingi.

Raisi Magufuli anafahamika vijiji vyote Tanzania nzima na ndiko wapiga kura wengi walioko sio mijini.

Hata mijini Lisu anajulikana miji michache hasa kwa vijana wanaoshinda mitandaoni hasa wa Dar es salaam ambao wengi hata kujiandikisha kupiga kura wengi hawajajiandikisha ni washabiki tu wa siasa za mitandaoni.

Pigo kuu la kubwagwa Lisu litatoka vijijini .Natoa siri ya wazi kabisa bila kuficha .Vijijini huyu Lisu hawamjui.Ofisi za CCM ZIKO KILA kijiji na hakuna mwanakijij asiyemjua Magufuli ni nani.Chadema waliwekeza viofisi vya hapa na pale vya kuzuga kwa msajili mijini viofisi vichache tu lakini vijini vijiji vingi hawako huko ndiko pigo zito la Lisu litatokea.

Ndio maana hata mapokezi yake utakuta walikuwa wengi vijana wadogo hakukuwa na watu wazima na hata maeneo aliyopita watu walikuwa kama wakimashangaa hivi na watu wazima walikuwa wala hawana hamasa naye ni vijana mmoja mmoja tu pembeni mwa barabara alimopita walioonyesha hisia za kumshangilia hapa na pale ikamlazimisha mpiga kamera afiche kupiga kamera kwa aibu akawa haonyeshi kabisa walio pembeni mwa barabara msafara unamopita .

Kamera yake ikajikita tu kwenye vijana walioko kwenye msafara wake anayebisha aangalie hizo video za msafara wake toka uwanja wa ndege hadi makao makuu kinondoni camera imekwepa kabisa kuonyesha watu waliojipanga kando ya barabara kuogopa aibu sababu hawakuwepo na waliokuwepo hawakuonyesha hisia za kumshangilia angalia kamera inawaonyesha walioko barabarani tu ambao wengi walikodiwa kumsindikiza.

Mpiga picha yeyote akiangalia tu anajua walipiga picha tu za kudanganya wazungu pembeni mwa barabara hakuwa na washangiliaji!!! Pamoja na jiji la Dar kuwa na umati wa watu ful time

Angalia usanii wa Chadema Lissu anapungia mikono wasindikizaji pembeni mwa barabara hakuna wapungia mikono .


Kwa taarifa yako Lissu anajulikana kila kona ya nchi na anaushawishi mkubwa. Watu wamemchoka magu hana jipya isipokuwa kutumbua tumbua, watu wamechoka na hayo.
 
Kuna vitu vitatu tia akilini

1).Kuwa raisi haimaniishi ndiyo kigezo cha kujulikana nchi nzima , kuna maeneo hata hawamjui raisi wa nchi yao ni nani.

2).Hii ni oppinion na sio fact so inaweza kupuuzwa .

3).Kwa takwimu zipi ulizofanya mpaka ufikie hiyo conclusion?
 
Back
Top Bottom