Sababu kuu zenye Mantiki zilizowafanya na zinazowafanya Wayahudi wengi Wasimuamini Yesu Kristo

Sababu kuu zenye Mantiki zilizowafanya na zinazowafanya Wayahudi wengi Wasimuamini Yesu Kristo

Yesu aliwambia wayahudi wa nyakati zake kuwa wanapenda miujiza na kwamba ndugu zao (wagiriki) wanapenda hekima.

Mwandishi wa andiko hili anapenda miujiza.
 
Ina logically inconsistent world, God exist, doesn't exist, exists and doesn't exist, exists or doesn't exists, all at once, existence itself exist, doesn't exists, exists and doesn't exist, exists or doesn't exist, or maybe not, in reverse order and forward, or without any order, there is no logical consistency, it's just chaos.
Brother, that is actually the way it is;

The world (meaning all universe) we are in is perfectly described by your inconsistencies. This word favours possibility of existance of two or even more mutually exclusive logical directions. And they are both real in toto, but at personal levels one side is real and the other is not (in parts)

I told you before that; the premises which are mutually exclusive both exist in our world as possibilities we can freely chose from.

Seeing the other side of the choices. Depends on the persons ability to comprehend abstracts. I emphasize that what appears abstract tu also depends on what the particular personal choice of what is real.

So it is very true that God exist and there follows logics for that. But it is also very true that God doesn't exist and logics for that are plenty. But here is a catch; what you see as logical inconsistency. I see it as a perfect grounds for freewill to fluorish.

It boils down to choices we make, choices that we can make. For it wouldnt be much of a choice if it would be coerced by any means, even by logic itself.
 
Nitarudi✍✍✍✍✍✍
Watamwinije wakati wao wameuhadaa ulimwengu kuonekana ni bora wakati hawana tofauti na magabacholi kwa uhovyo na ubaguzi? Hawa wahindi na waarabu na wazungu ni viumbe wa hovyo hakuna mfano.
 
Brother, that is actually the way it is;

The world (meaning all universe) we are in is perfectly described by your inconsistencies. This word favours possibility of existance of two or even more mutually exclusive logical directions. And they are both real in toto, but at personal levels one side is real and the other is not (in parts)

I told you before that; the premises which are mutually exclusive both exist in our world as possibilities we can freely chose from.

Seeing the other side of the choices. Depends on the persons ability to comprehend abstracts. I emphasize that what appears abstract tu also depends on what the particular personal choice of what is real.

So it is very true that God exist and there follows logics for that. But it is also very true that God doesn't exist and logics for that are plenty. But here is a catch; what you see as logical inconsistency. I see it as a perfect grounds for freewill to fluorish.

It boils down to choices we make, choices that we can make. For it wouldnt be much of a choice if it would be coerced by any means, even by logic itself.
You don't exist.
 
You don't exist.
Ooh really!? I believe, there is plenty of logic to argue for that position you supposedly hold. Keep it.

But also there is plenty of logic to argue for my existance. I won't bother argue for it, relax.

You made that choice. And as for you it makes your life easier (with respect to you). At least for a short term. Because I see a clear attempt to rebel against truth.

Logic can not single handedly give us a sure answer. But Truth can. Truth triumps over all logic. Truth is just is.

Consciously and willingly going against truth is wrong. To a believer, that is a sin. Use whatever term you can agree with but it will remain the opposite of the right way. Non sense.. for starters.

But if you also made a choice that you are just like an AI. Then there is no need to worry. Because with respect to you. Consciousness might as well be a myth too. Let me not assume assume tu. Let me ask; Kiranga do you personally think of yourself as being both intelligent(this I believe you are) and conscious? Au la?
 
Haya maneno yataishi mpaka kiama utakuja kusahihisha hapa hapa j.forum
Na mda utakua hauna tena
Mkuu unaamini kiama kipo na JF itakuwapo kiama?

Kiama kitakuwa wapi na tumebakiza miaka mingapi tukifikie?

Thibitisha Mungu yupo, acha longolongo.
 
Mkuu unaamini kiama kipo na JF itakuwapo kiama?

Kiama kitakuwa wapi na tumebakiza miaka mingapi tukifikie?

Thibitisha Mungu yupo, acha longolongo.
Unachofanya kwa siri leo ipo siku yakuweka peupe kila neno la siri
Ndiomaana hapo mwisho nimemwambia atakua amechelewa
 
"Leo Taikon atajadili sababu zinazopelekea Wayahudi wengi kutokuamini kama Yesu Kristo ndiye Masihi wao"

Hoja iliyopo mezani ni kuhusu umasiha wa Yesu, kwa imani yao Masihi wa Kiyahudi ni mtu mkuu wanayemtarajia kuwa atawakomboa kimwili na kuwafanya kuitawala dunia nzima kutoka mji wao wa Yerusalemu.
 
Mi niseme tu,, baada ya utawala wa babeli kuangushwa na iran,, mfalme wa iran , ambae ndiye masiha, maana aliwakomboa toka utumwani waisrael, alimruhusu Ezra arudi caanan,, ezra na kikundi kidogo walirudi,, mfalme wa iran, aliwapa pesa ili wakajenge upya hekalu la solomon. Kisha alitoa watu kwenda kusaidia kufundisha dini.

Lakini hasa dini ya kiyahudi iliibuka hasa kipindi cha utawala wa king Josia,, ezira alichofanya ni kuihuisha upya,
Kama sikosei, maana naongea from memory, Ila masihi wa kwanza aliyetajwa na biblia ni mfalme wa iran(persia), King Cyrus(koresh)
Baadae wayahudi wakamfanya Ezra mungu
 
Hu
ndio umeingia chaka kabisa, Islam si extension of Christianity tu?
Huenda huuelewi uislam Wala ukiristo...ungevielewa usingefananisha
 
Kwako mtoa maada, andiko lako ni zuri sana lakini naomba nikuambie kuwa dhambi kuu ya Wana Israel ni kutokuamini bila kuona au kusikia.Yani myahudi hawezi kuamini hivi hivi bila kuona au kusikia yeye mwenyewe.
Lakini pia unaitaji kuoata neema ya ajabu ili uweze kumwelewa Yesu Kristo na Mungu pia.maana mawaze yake ( Mungu) si kama mawazo ya wanadamu!
Ikumbukwe kuwa wayahudi walikataa uongozi wa kimungu wakataka waongozwe na mfalme wa kidunia kama mataifa mengine.soma kitabu Cha Nabii Samwel.....Mungu anamwambia : hawajakukataa wewe Bali wamenikataa mimi .Hii ni baada ya kuwa Wana Israel walimwomba Nabii Samwel awachagulie mfalme wa kuwangoza ,jambo hili likawa baya machoni pa Nabii Samwel .

Kwa hiyo Wayahudi mpaka sasa wanateseka Kwa sababu ya ubishi wao,kutokuamini,kukataa Mungu asiwaongoze Bali kutaka mfalme wa kidunia mwanadamu kama wao awaongoze.
Ndiyo maana kuzaliwa Kwa Yesu Kwa njia ya miujiza Yani bila baba wa kidunia wanamwona kama kamuungu Fulani hivi,au mwongo kabisa ( Yani mariamu mwongo,au Yusufu mwongo).Walitegemea azaliwe kibinadamu kabisa halafu ndani yake awe nabuwezo wa ajabu ,mfalme mwenye nguvu amabaye ataweza kupigana na maadui wote wa taifa la Israel na kuwaletea amani.

Sasa hawakuelewa hili:

1.masihi ambaye atazaliwa kama wao ( wanadamu) Hataishi milele.Hata kama atawaletea amani ,lakini ingekuwa amani ya kitambo tu maana huyu masihi mwenye asili ya kibinadamu sharti atakufa,na akishakufa nguvu ya utawala wake lazima ipotee.

2.Yesu Kristo ni masihi wa kweli ,mfalme wa kweli aletaye amani ya kweli .
Ili uweze kuelewana na maelezo yangu kwanza unatakiwa uamini kuwa Yesu alizaliwa,akafa ,akafufuka na akapaabinguni!! Kama huelewani na maneno haya itakuwa vigumu kuamini kwamba Yesu Kristo ni masihi wa kweli.
Yesu Kristo ndiye masihi wa kweli,mfalme wa ajabu Kwa sababu yeye alikuwepo,yupo na atakuwepo.Yani anao uwezo juu ya uzima na mauti.Alifufuka kutoka Kwa wafu .kule kuzimu Kwa siku tatu alikuwa na kazi maalumu ya kupambana na yule Joka aitwaye ibilisi na kumnyang'anya funguo za mamlaka.ndiyo maana huwa na mwita komandoo wa vita,jemadari asiyeshindwa .Ibilis mwenyewe alishangaa kumuona amemfuata mpaka kuzimu.Hahhaaaaa.vita ile ikuwa Tamu sana aisee.

Ufalme wa Mungu ,ufalme wa Yesu siyo ufalme wa kidunia Yani kwamba kuwepo na kundi la kijeshi au uwezo wa kijeshi wa kupambana na maadui.Hapana.kwanza ufalme wa unatakiwa ujue kwamba hapa duniani tuna wafalme wakuu wa wili amabao wanamungombania mwanadamu .Kila mfalme ana lengo lake

Kuna wafalme wa wili.Ibilisi ambaye ni shetani ,na Yesu Kristo akimwakilisha Mungu .Kila mfalme utamjua Kwa matendo yake.Wafalme Hawa wa wili utawala wao unaanzia katika ukimwengu wa roho.Yani kwenye moyo wako na akili zako .Wana drive binadamu from the heart and your mind. Kwa hiyo tunachokiona kikifanyika hapa duniani kimeanzia katika ulimwengu wa roho.yani mipango imeanzia kwenye moyo wako na kwenye akili zako.

Wafalme hao wawili ni maadui kweli kweli.uadui wao ukianzia mbinguni Tena sehemu takatifu.

Mfalme ibilisi anataka watu wamuasi Mungu kama yeye alivyomwasi Mungu.Yesu Kristo anataka watu wamtii Mungu .

Mfalme ibilisi yeye ufalme wake ni WA kuchukiana,kuuana,kuibiana,kulawitiana,Yani Kila aina ya maovu. mfano wa ufame wake ni huu.Ukitaka utajiri ibilisi anakuambua nitakupa lakini uzini na mama Yako,umtoe kafara mama ,baba au mtoto wako,umfanye msukule nduguyo.Mungu na Yesu Kristo ufalme wao ni WA amani.yani upendano wa ndugu .mfano wa ufalme wa kimungu au wa Yesu Kristo ni huu: ukitaka utajiri anakuambia nitakupa lakini Fanya kazi Kwa bidii,nenda kanisani,toa sadaka,wasaidie wajane na yatima ,kuwa na amani na watu wote .

Nitaendelea badaye ngoja niende kusali kwanza
 
Back
Top Bottom