zege la nyasi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 938
- 1,255
Ukiona mwanamke ana degree maana yake ni kwamba mwanamke huyo ni mvumilivu na amevumilia mambo mengi sana.
Kapambana na umande wa shule ya msingi kapambana kuanzia form one hadi form six na kikubwa zaidi kapambana na changamoto zote za chuo kikuu kuanzia mwaka wa kwanza hadi anamaliza.
Hakika mwanamke huyu ni mvumilivu na ana staili kuwa mke wa ndoa kama ameweza kustahimili changamoto zote za chuo hawezi shindwa stahimili changamoto za ndoa na maisha kwa ujumla.
Heeeee haya banaUkiona mwanamke ana degree maana yake ni kwamba mwanamke huyo ni mvumilivu na amevumilia mambo mengi sana.
Kapambana na umande wa shule ya msingi kapambana kuanzia form one hadi form six na kikubwa zaidi kapambana na changamoto zote za chuo kikuu kuanzia mwaka wa kwanza hadi anamaliza.
Hakika mwanamke huyu ni mvumilivu na ana staili kuwa mke wa ndoa kama ameweza kustahimili changamoto zote za chuo hawezi shindwa stahimili changamoto za ndoa na maisha kwa ujumla.
Ukiona mwanamke ana degree maana yake ni kwamba mwanamke huyo ni mvumilivu na amevumilia mambo mengi sana.
Kapambana na umande wa shule ya msingi kapambana kuanzia form one hadi form six na kikubwa zaidi kapambana na changamoto zote za chuo kikuu kuanzia mwaka wa kwanza hadi anamaliza.
Hakika mwanamke huyu ni mvumilivu na ana staili kuwa mke wa ndoa kama ameweza kustahimili changamoto zote za chuo hawezi shindwa stahimili changamoto za ndoa na maisha kwa ujumla.
UbarikiweTatizo hujawakoza..Submission comes when a woman is treated rightly
Usitolee mfano wazazi wako. Kuna generation gap pia kumbuka.Maisha ya ndoa hayaangalii elimu alonayo mtu,cheo, umbo ama sura!
Sidhani kama wazazi wetu walikuwa na hizo elimu ni wachache sana, lakini wameweza kutulea na kuvumialia changamoto zooote za mke/mume.
Tumekuwa tukijiwekea matarajio fulani kwa watu ambao tunataka wawe wenzi wetu, kitu ambacho hutuumiza baada ya ndoa. Kile ulichotarajia unakuta sicho, na wakati huo uko kwenye ndoa tayari. Hicho ndo chanzo cha mifarakano kwenye ndoa nyingi.
Mke au mume wa maisha yako yupo ila nikumuomba Mungu sana akupe wa kufanana nawe
I agree with you mwanaume machine usipokuwa na hyo hata ukioa wa la pili hamdumu.Chanzo kikuu cha migogoro ya ndoa ni kutowakojoza vizuri wanawake.Kama mkeo una mkojoza vizuri wala hawezi kukuletea dharau
HafaiNa ni mdogo tena kwelikweli, bonge la popoma, hafai hata kuwa balozi wa nyumba 10.
Heshima ya ndoa kukojozwa basi bila hivo hata uwe nani unakuta wanawake tunakudharau lohTell dem
Shule kazi yake ni kutoa ujinga huwezi linganisha asiyeenda shule na aliyesoma, sema wanaume mnapenda wanawake wasioenda shule muwaonee, hafu mnaenda kuchepuka na wanaojielewa, msosi anaweza kuilea familia yake vzuri watoto akawaongoza kuwa na msingi. Only in Tanzania watu hawaoni u muhimu wa shule kisa uoga wa wanaumeMaisha ya shule na maisha ya uraiani ni tofauti kabisa...
Maisha ya shule kuna favour nyingi sana, maisha ya uraiani yana changamoto nyingi...
Cc: mahondaw
Kwa nn ndoa zao hazidumu? Kuna tatizo kwenu mabinti wa chuo lichunguzeni vizur.Shule kazi yake ni kutoa ujinga huwezi linganisha asiyeenda shule na aliyesoma, sema wanaume mnapenda wanawake wasioenda shule muwaonee, hafu mnaenda kuchepuka na wanaojielewa, msosi anaweza kuilea familia yake vzuri watoto akawaongoza kuwa na msingi. Only in Tanzania watu hawaoni u muhimu wa shule kisa uoga wa wanaume
Hivi upo wewe?
Ndoa hazidumu kwa watu wasiojua misingi ya ndoa ikiwepo uzinzi ndo huua ndoa nyingi, msomi anajielewa hawezi vumilia ujinga, pia sio kwamba wasosoma wanazipenda ndoa ni vile hawana kipato mwanamke anajitaftia huwezi kumtesa akakuganda eti kisa sijui nini loh.Kwa nn ndoa zao hazidumu? Kuna tatizo kwenu mabinti wa chuo lichunguzeni vizur.