Sababu kwanini siwezi kuoa mwanamke ambae hana degree

Sababu kwanini siwezi kuoa mwanamke ambae hana degree

Ukiona mwanamke ana degree maana yake ni kwamba mwanamke huyo ni mvumilivu na amevumilia mambo mengi sana.

Kapambana na umande wa shule ya msingi kapambana kuanzia form one hadi form six na kikubwa zaidi kapambana na changamoto zote za chuo kikuu kuanzia mwaka wa kwanza hadi anamaliza.

Hakika mwanamke huyu ni mvumilivu na ana staili kuwa mke wa ndoa kama ameweza kustahimili changamoto zote za chuo hawezi shindwa stahimili changamoto za ndoa na maisha kwa ujumla.



mkuu ukumbuke kuwa sarafu inapande mbili.
 
Ukiona mwanamke ana degree maana yake ni kwamba mwanamke huyo ni mvumilivu na amevumilia mambo mengi sana.

Kapambana na umande wa shule ya msingi kapambana kuanzia form one hadi form six na kikubwa zaidi kapambana na changamoto zote za chuo kikuu kuanzia mwaka wa kwanza hadi anamaliza.

Hakika mwanamke huyu ni mvumilivu na ana staili kuwa mke wa ndoa kama ameweza kustahimili changamoto zote za chuo hawezi shindwa stahimili changamoto za ndoa na maisha kwa ujumla.
Heeeee haya bana
 
Kazi ipo?. Ukijumlisha na bhangi si balaaa
Ukiona mwanamke ana degree maana yake ni kwamba mwanamke huyo ni mvumilivu na amevumilia mambo mengi sana.

Kapambana na umande wa shule ya msingi kapambana kuanzia form one hadi form six na kikubwa zaidi kapambana na changamoto zote za chuo kikuu kuanzia mwaka wa kwanza hadi anamaliza.

Hakika mwanamke huyu ni mvumilivu na ana staili kuwa mke wa ndoa kama ameweza kustahimili changamoto zote za chuo hawezi shindwa stahimili changamoto za ndoa na maisha kwa ujumla.
 
Maisha ya ndoa hayaangalii elimu alonayo mtu,cheo, umbo ama sura!

Sidhani kama wazazi wetu walikuwa na hizo elimu ni wachache sana, lakini wameweza kutulea na kuvumialia changamoto zooote za mke/mume.

Tumekuwa tukijiwekea matarajio fulani kwa watu ambao tunataka wawe wenzi wetu, kitu ambacho hutuumiza baada ya ndoa. Kile ulichotarajia unakuta sicho, na wakati huo uko kwenye ndoa tayari. Hicho ndo chanzo cha mifarakano kwenye ndoa nyingi.

Mke au mume wa maisha yako yupo ila nikumuomba Mungu sana akupe wa kufanana nawe
Usitolee mfano wazazi wako. Kuna generation gap pia kumbuka.
 
Chanzo kikuu cha migogoro ya ndoa ni kutowakojoza vizuri wanawake.Kama mkeo una mkojoza vizuri wala hawezi kukuletea dharau
I agree with you mwanaume machine usipokuwa na hyo hata ukioa wa la pili hamdumu.
 
Maisha ya shule na maisha ya uraiani ni tofauti kabisa...

Maisha ya shule kuna favour nyingi sana, maisha ya uraiani yana changamoto nyingi...


Cc: mahondaw
 
Maisha ya shule na maisha ya uraiani ni tofauti kabisa...

Maisha ya shule kuna favour nyingi sana, maisha ya uraiani yana changamoto nyingi...


Cc: mahondaw
Shule kazi yake ni kutoa ujinga huwezi linganisha asiyeenda shule na aliyesoma, sema wanaume mnapenda wanawake wasioenda shule muwaonee, hafu mnaenda kuchepuka na wanaojielewa, msosi anaweza kuilea familia yake vzuri watoto akawaongoza kuwa na msingi. Only in Tanzania watu hawaoni u muhimu wa shule kisa uoga wa wanaume
 
Shule kazi yake ni kutoa ujinga huwezi linganisha asiyeenda shule na aliyesoma, sema wanaume mnapenda wanawake wasioenda shule muwaonee, hafu mnaenda kuchepuka na wanaojielewa, msosi anaweza kuilea familia yake vzuri watoto akawaongoza kuwa na msingi. Only in Tanzania watu hawaoni u muhimu wa shule kisa uoga wa wanaume
Kwa nn ndoa zao hazidumu? Kuna tatizo kwenu mabinti wa chuo lichunguzeni vizur.
 
Kwa nn ndoa zao hazidumu? Kuna tatizo kwenu mabinti wa chuo lichunguzeni vizur.
Ndoa hazidumu kwa watu wasiojua misingi ya ndoa ikiwepo uzinzi ndo huua ndoa nyingi, msomi anajielewa hawezi vumilia ujinga, pia sio kwamba wasosoma wanazipenda ndoa ni vile hawana kipato mwanamke anajitaftia huwezi kumtesa akakuganda eti kisa sijui nini loh.
 
Back
Top Bottom