Sababu kwanini siwezi kuoa mwanamke ambae hana degree

Sababu kwanini siwezi kuoa mwanamke ambae hana degree

Ukiona mwanamke ana degree maana yake ni kwamba mwanamke huyo ni mvumilivu na amevumilia mambo mengi sana.

Kapambana na umande wa shule ya msingi kapambana kuanzia form one hadi form six na kikubwa zaidi kapambana na changamoto zote za chuo kikuu kuanzia mwaka wa kwanza hadi anamaliza.

Hakika mwanamke huyu ni mvumilivu na ana staili kuwa mke wa ndoa.

Kama ameweza kustahimili changamoto zote za chuo hawezi shindwa stahimili changamoto za ndoa na maisha kwa ujumla.
Usisahau pia kuwa wakati akiwa chuo aliolewa na wanaume tofauti tofauti
 
Ukiona mwanamke ana degree maana yake ni kwamba mwanamke huyo ni mvumilivu na amevumilia mambo mengi sana.

Kapambana na umande wa shule ya msingi kapambana kuanzia form one hadi form six na kikubwa zaidi kapambana na changamoto zote za chuo kikuu kuanzia mwaka wa kwanza hadi anamaliza.

Hakika mwanamke huyu ni mvumilivu na ana staili kuwa mke wa ndoa.

Kama ameweza kustahimili changamoto zote za chuo hawezi shindwa stahimili changamoto za ndoa na maisha kwa ujumla.

Mkuu husijidanganye hata kidogo kwa fikra kama hizo kuna watu wanapata Degree bila kutoa jasho hata kidogo
 
Malizia tu unatafuta mwanamke mwenye degree na kazi pia! Hivi kwanini wanaume wa siku hizi tunakimbilia kuoa wanawake wenye kazi?.
 
Ndoa na chuo ni vitu viwili tofaut kabisa

Sitak kuamin ww ni mwanachuo wenye level ya degree umeleta huu uzi
 
JF inachanganya sana,kuna Uzi humu unasema watoto wa chuo wanamegwa sana...nikisoma hii Mada naona ktk huo uvumilivu na kumegwa sana mtoa Mada ungeweka
 
Uzi huu ni mfano tosha kwamba chuo sio kigezo cha uelewa uvumilivu kwenye ndoa.

Kwangu mimi kigezo cha shule ni kujua kusoma na kuandika. Hayo mengine ni mbwembwe tu.

Infact, nawafahamu machangu wengi sana wenye degree

Jichanganye uingie kwenye kumi na nane zao!
 
Malizia tu unatafuta mwanamke mwenye degree na kazi pia! Hivi kwanini wanaume wa siku hizi tunakimbilia kuoa wanawake wenye kazi?.

Uvivu na kukata tamaa, ukimuona mwanamme anamtegemea mwanamke kwenye maisha hapo hamna dira hata ya malezi.
 
Back
Top Bottom