Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Hahahahahaaaukioa PhD na mwanaume huna ni kujinunulia tatizo la kisaikolojia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahaaaukioa PhD na mwanaume huna ni kujinunulia tatizo la kisaikolojia
Usisahau pia kuwa wakati akiwa chuo aliolewa na wanaume tofauti tofautiUkiona mwanamke ana degree maana yake ni kwamba mwanamke huyo ni mvumilivu na amevumilia mambo mengi sana.
Kapambana na umande wa shule ya msingi kapambana kuanzia form one hadi form six na kikubwa zaidi kapambana na changamoto zote za chuo kikuu kuanzia mwaka wa kwanza hadi anamaliza.
Hakika mwanamke huyu ni mvumilivu na ana staili kuwa mke wa ndoa.
Kama ameweza kustahimili changamoto zote za chuo hawezi shindwa stahimili changamoto za ndoa na maisha kwa ujumla.
Ukiona mwanamke ana degree maana yake ni kwamba mwanamke huyo ni mvumilivu na amevumilia mambo mengi sana.
Kapambana na umande wa shule ya msingi kapambana kuanzia form one hadi form six na kikubwa zaidi kapambana na changamoto zote za chuo kikuu kuanzia mwaka wa kwanza hadi anamaliza.
Hakika mwanamke huyu ni mvumilivu na ana staili kuwa mke wa ndoa.
Kama ameweza kustahimili changamoto zote za chuo hawezi shindwa stahimili changamoto za ndoa na maisha kwa ujumla.
Wasomi wetu haoNdoa na chuo ni vitu viwili tofaut kabisa
Sitak kuamin ww ni mwanachuo wenye level ya degree umeleta huu uzi
Hakuna namna itabid tuish naoWasomi wetu hao
Kwa kweliHakuna namna itabid tuish nao
Umeniwakilisha.Aisee
Malizia tu unatafuta mwanamke mwenye degree na kazi pia! Hivi kwanini wanaume wa siku hizi tunakimbilia kuoa wanawake wenye kazi?.