samalanga
JF-Expert Member
- Aug 3, 2009
- 336
- 244
Hayo mafuta Hata Rav 4 old model unatembea zaidi ya km 140,Mmmmh 18km/L?? Mbona hii yangu inabugia sana? Yani jmos nmeweka mafuta ya sh.45 ambayo ni litre 18 hadi leo nmetembea km82 imeanza kuwasha tar ya mafuta....naombeni msaada wa kiufundi juu ya hili
Sent using Jamii Forums mobile app