Sababu kwanini Toyota IST inapendwa sana sasa hivi

Sababu kwanini Toyota IST inapendwa sana sasa hivi

Ukisimama shekilango njia panda, mwenge njia panda ya ubungo, ubungo mataa njia panda, tabata relini njia panda, buguruni mataa, tazara mataa, keko njia panda chang'ombe KATIKA GARI(make) 10 TOFAUTI ZINAZOPITA IST tatu au nne lazima zipite.

Gari zinapendwa sana na watanzania hizi.
Hivi inaizidi kweli passo? Maana nazo zipo nyingi sana hapa bongo
 
Kuna hizi vitz new model, zina cc 990.

Naweza pata kwa bei gan mpaka barabarani?
 
IST Licha kutumia mafuta kidgo pia hata kwa safari za masafa inafaa sana!!!!!!
 
Ile miaka mitano ya kwanza ya Kikwete R4 zilikuwa habari ya mjini mpaka ziliitwa “kitchen party”.
r4 ni gari ngumu na nzuri upate yaku select 4w utajutia maahuzi yako na spear zake azisumbuiiiii
 
Back
Top Bottom