Sababu mbalimbali zinazopelekea mama kushauriwa kumnyonyesha mtoto kwa miaka miwili

Sababu mbalimbali zinazopelekea mama kushauriwa kumnyonyesha mtoto kwa miaka miwili

mi nakumbuka wadogo zangu walikuwa wananyonya mpaka mama akipata mtoto mwingine basi dogo ndo anamuachia mwenzie; dogo wa mwisho ndo nlishuhudia akinyonya mpaka alipoingia darasa la kwanza ndo akaacha tena aliachishwa kwa nguvu na sio kupenda yeye (huyu alianza shule na miaka 5 amerukishwa darasa primary na o level) in short he is the brightest kid in the family na ana umbo kubwa kuliko ndugu wote
 
Mwanangu nilimnyonyesha kwa mwaka mmoja nilikuwa na maternity leave ya miezi sita ma miezi sita nilianza whining process. Nikiposnza kazi alinyonya for bounding reasons really
Weaning process?.....Bonding Reasons?
 
Kwanini wasipewe wabab wawanyonyeshe hadi miaka 6
Umenikumbisha kisa kimoja uswazi.

Nimeenda kuchukua mihogo ya kugonga chai, akaja mama mmoja mbio mbio, kanga kafanya kuikamata kifuani.

Mteja: mama nanii, niweke mihogo haraka.
Muuzaji: si unaona kuna foleni
Mteja: niwekee haraka namuwahi mwanangu.

Lile limama liuza mihogo likaguna kisha likacheka kimbea,
Muuzaji: hebu kwendaga huko, mtoto, mtoto kaishakiwa mkubwa huyo, mtoto anakunyonya anakutia NYEGE,ana utoto gani.🤣🤣🤣

Hakuna ambae hakucheka pale.
 
Acha kudanganya na takwimu zenu hizo za uongo, nina ushuhuda wa kwangu binafsi.

Kati ya watoto wangu, mmoja aliacha kunyonya akiwa na miezi mitano pekee na kwa sasa yupo Sekondari na tangu aanze shule hajawahi kukosa namba moja.
 
Mikoa wanayolima ndizi na ngano kwa wingi watoto huwa na akili sana darasani ebu tuzingatie hivi vyakula kuwapa watoto kila wakati jamii nyingi hapa tanzania wanakula ugali na maharage
 
Mikoa wanayolima ndizi na ngano kwa wingi watoto huwa na akili sana darasani ebu tuzingatie hivi vyakula kuwapa watoto kila wakati jamii nyingi hapa tanzania wanakula ugali na maharage
 
Mnyonyeshe wiki mbili uandae na bajeti ya kumpeleka masomo ya ziada
yani kwenye ukoo wenu kama kuna vilaza, basi hapa hakuna cha 2/3 yrs za kunyonyesha. Last born wetu hakukutana na maziwa ya mama,, lakini class unagonga vizuri tu..
 
Back
Top Bottom