stable-negro
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 509
- 347
Weaning process?.....Bonding Reasons?Mwanangu nilimnyonyesha kwa mwaka mmoja nilikuwa na maternity leave ya miezi sita ma miezi sita nilianza whining process. Nikiposnza kazi alinyonya for bounding reasons really
Kwanini wasipewe wabab wawanyonyeshe hadi miaka 6"Mnyonyeshe Maziwa ya Mama tu, miezi 0-6 bila kuchanganya na kitu chochote,pia mnyonyeshe mpaka miaka 2 na ukiweza hata miaka 3" (Innocent-afisa lishe Mtwara)
Kwa baba yake nyonya wewe alafu yeye atakutana na virutubisho kwenye nyonyoKwanini wasipewe wabab wawanyonyeshe hadi miaka 6
Wewe ndio unapanga kama ni rahisi kuwanyonyesha wanyonyesheni nyieKwa baba yake nyonya wewe alafu yeye atakutana na virutubisho kwenye nyonyo
Kulea mwanao unaona mzigo dada??? Toa kizazi hichoWewe ndio unapanga kama ni rahisi kuwanyonyesha wanyonyesheni nyie
Usiniweke nuksi eh nausinipangie maisha yangu mpangie mama yako na mkeo jinsi yakukulea na jinsi yakulea watoto wako periodKulea mwanao unaona mzigo dada??? Toa kizazi hicho
Kwa maziwa gani na muda gani huo amnyomyeshe yeyeMtoto anyonye miaka mitatu me baba nasubiri tu .
Miaka miwili Inatosha baba anaachiwa [emoji1787]Kwa maziwa na muda gani huo amnyomyeshe yeye
Mie miezi sita tu aisee saba anaanza kuota meno ni mtu mzima huyoMiaka miwili Inatosha baba anaachiwa [emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mie miezi sita tu aisee saba anaanza kuota meno ni mtu mzima huyo
Umenikumbisha kisa kimoja uswazi.Kwanini wasipewe wabab wawanyonyeshe hadi miaka 6
yani kwenye ukoo wenu kama kuna vilaza, basi hapa hakuna cha 2/3 yrs za kunyonyesha. Last born wetu hakukutana na maziwa ya mama,, lakini class unagonga vizuri tu..Mnyonyeshe wiki mbili uandae na bajeti ya kumpeleka masomo ya ziada