bitaly athumani
Senior Member
- Aug 21, 2015
- 158
- 90
Kilaza asaidie kilaza ngoja tuone.Makonda amechukua hatua za kuwasaidia kukuza wasanii wetu kwa kupiga marufuku movies za nje ya nchi
Wao wanaproduce chenga then wanataka wapewe fair ground na wakorea au wamarekani? acheni utani nyie.Sababu zako zina ukweli kwa kiasi kikubwa lkn hakuna ubabe unaotumika kulazimisha kazi zao zinunuliwe bali wanataka fair ground ya kuuzia kazi zao. Kwa mfano maduka ya kkoo wamefunga wenyewe ili wapaze sauti zao kwa serikali.
Fair ground ya soko ni lazima kwanini wengine walipe kodi wengine wasilipe? Kwa sab wanauza cd za korea zenye ubora na utaalam mkubwa?Wao wanaproduce chenga then wanataka wapewe fair ground na wakorea au wamarekani? acheni utani nyie.
Umelazimishwa nini?Waigizaji wabadirike maana kutulazimisha sio suluhisho kwa kweli. Sababu nyingine ni hii ya kuendekeza skendo hasa za ngono. Hii inawachafulia sifa zao na kuonekana kama ni wahuni tu. Waache kupamba kurasa za mbele za magazeti ya udaku maana bila skendo hizo naona kwako sijui unapoteza sifa za kuwa mwigizaji!
Kodi inatakiwa kulipwa na kila mtu.Kinyume na hapo ni udhaifu wa serikali inayoungwa mkono na hao hao bongo movie.Fair ground ya soko ni lazima kwanini wengine walipe kodi wengine wasilipe? Kwa sab wanauza cd za korea zenye ubora na utaalam mkubwa?
Uzi huu ni maridhawa kwa wapendwa wasanii ambao wakizingatia watatoka hasa kuweka viwango bora vya kazi bila kujali ushindani. Ningeweza taja baadhi ya kazi zenu mbovu lakini sio utu ila nyingi ya kazi zenu nikiwango cha chini sana. katika hii globalized world huwezi ukajifungia chumbani unaogopa ushindani, lakini kubwa wajipime wao kama usanii ndio kazi zao wasichanganye na siasa kwani watu wote wanahitaji burdani lakini ukiudhi kundi moja unapoteza mteja , so jipangeni kutengeneza pesa bila kuudhi kundi lolote. Kama tatizo ni mtaji jengeni utaratibu wa kuupata, hii ni industry kama nyingine ! I hope sijawaudhi!Fact mkuu
Wangekuwa wanalijua hili wangeshachukua hatua.....tatizo la BM ni pamoja na kutokujua matatizo yao pia.Mi nakubaliana kabisa na no. 3.
Uwezo mdogo wa kiakili.
Sanaa ni tasnia inayohutaji uwezo mkubwa wa kiakili.
Sio movies tu. Sanaa kwa ujumla inahutaji uwe na IQ kubwa. Kwetu bongo imekua vice versa wengi wanaoingia kwenye sanaa ni wale ambao wameshindwa kutoka" darasani/ au kimaisha"
Walau kwenye mziki ndio kuna tofauti wapo baadhi/wengi wanaoonekana wanatoa kaz zenye akili( au ni soko linakua limeshawachuja).
Tunatakiwa tuwekeze kwenye sanaa. Ya filamu. Tuwekeze vipaji , tuwekeze watu wenye akili zao.
Ukiangalia watu wanao igiza Hollywood mastaa wengi IQ zao zina range kuanzia 110 hadi 160. No wonder kazi zao zina creativity na factors zote muhimu kwnye kazi za filamu.
Hizi zetu ukiangali ni chache sana ambazo zina convince.
Na wengine ukiangalia uigizaji wao tu. Inakufanya uwe na wasi wasi na IQ zao
Kusema mtaji ni kisingizio cha kushindwa.Unapokuwa creative unaokoa gharama za uzalishaji.Hollywood kuna film za hadi dola M1 lakini zinatoa faida ya ajabu.Mkuu CHARMILTON umesahau jambo kubwa na ambalo ndio linalowaangusha ni Mtaji mkubwa wa kufanya filamu yenye high quality!
Mtu anakwambia movie yake mpaka imekamilika ametumia Milioni 6, Sasa unajiuliza hiyo ni Movie au Shooting ya wimbo.
Kusema mtaji ni kisingizio cha kushindwa.Unapokuwa creative unaokoa gharama za uzalishaji.Hollywood kuna film za hadi dola M1 lakini zinatoa faida ya ajabu.
Hata hao wanaowekeza zaidi walianza na mitaji midogo.Kwa umri wa bongo movie walitakiwa wawe mbali lakini bado wanadeka na kulia mitaji kama watoto wadogo.Sasa mkuu unafananisha Dola M 1 na Milioni 6?
Nimesema hivyo kwasababu msanii atataka kutumia Camera ambazo low quality za bei rahisi ili tu abajetie pesa ndogo aliyoitenga. Matokeo yake unakuja kukuta movie haina rangi nzuri, scene zina cheza cheza n.k