Wakuu tatizo ni fair ground, hata marekani watu walianza kukosa kazi na viwanda kufungwa baada ya bidhaaa kutoka China kufurika kwenye maduka yao.
Akina trump wamepunguza kiasi cha bidhaa zinazoingia US na wanaongeza kodi zaid na la muhimu wamezindua kampeni ya nunua bidhaa za Marekani na ajiri wamarekan.
Kama taifa kubwa vile linafanya kampeni kubwa kuwasaidia wazalishaji na RAIA wake kwann iwe ajabu kwa bongo. Yaani hii inashangaza sana
Unaweza ukawa unaongea apa kumbe ww ni mbumbumbu wa kutupwa kama akina malinzi tu. Hivi kweli mtanzania halisi anaweza kudhihaki hatua anazochukua Makonda. Hatua anazochukua makonda zinapaswa kuchukuliwa kwenye kila sekta ya uzalishaji
Kuna nchi zimepiga marufuku hata soda za cocacola ili kulinda wazalishaji wa ndani. Yaan kila muigizanji na msambazaji anapaswa kuunga mkono hatua hii kwa nguvu zake zote hata bila kujali wapumbavu wachache wanaopiga domo bila kujielewa.
Akina Steve Nyerere ni akili ndogo tu, wanakataa Ku support kwa sabb ya hofu ya kumuudhi yule demu aliekubuhu kwa upuuzi et kwa sabb aligombana na Makonda. Ni ujinga wake Steve, hatakaa atumie akili yake.
Wakubali ,wakatae Makonda ndo RC wa Dar for now na historia itamtambua hivo. Amewasaidia wengi na kiuhalisia kwa kipindi hiki hakuna mtu anaeweza kuuendesha mkoa wa Dar mpaka ukashika adabu yake kama makonda.
Makondo ndo hero wa Dar, wapuuzi wote lazima wainame. Huyo ndo Mwanaume, kawashikisha adamu watu wote pamoja na utajiri wao. Siku akiondolewa ndo mtaelewa naongea nn.
Watu wamuunge mkono. Huyo ndo mkombozi wenu. Hawa wanasiasa wanawadanganya. Mpeni support Makonda. Achen wanasiasa wafanye siasa zao lakini msidanganywe.
Wakiwa strict baada ya miezi michache mtaona jinsi mauzo yenu yatakavyoanza kupanda.
Hata kwenye sukari walipiga kelele wakajaribu kuhujumu lakin leo hii kila kiwanda kinafanya upanuzi na viwanda vingine vitatu vinajengwa baada ya kupata uhakika wa soko.
Ndivyo maisha yanavyoenda. Kule SA idadi ya watu ni karibia sawa na TZ lakini wazalishaji wao wanauza sana. Ukiangalia bia wanaviwanda zaid ya kumi vikubwa kama Mara tano ya kiwanda cha Tbl apa Dar. Wanaviwanda vya Magari lakini huruhusiwi kuagiza gari kutoka nje. Wafanyakazi wa ngazi Fulani lazim ununue gari na gari likiwa na kilometer idadi fulan huruhusiwi kuendesha, lazima ukanunue lingine. Kwann, ni kwa sabb wanalinda viwanda vyao na ajira za watu wao.
Sasa uku Bongo watu wanataka ajira halafu hawataki kununua bidhaa za kitanzania. Kama sio kulogwa ni nn. Hebu tuamke basi. Mtanzania amka, jitambue. Mama ndalichako nakuomba uongeze ubora wa elimu ili hawa viumbe wajitambue