Sababu tano za kufa kwa Bongo movie

Sababu tano za kufa kwa Bongo movie

Cc bongo movie
17882817_655604981303505_7792124453760008192_n.jpeg
 
Bongo movie mnakela sana, movie zenu hazna uhalisia, mnaigiza madudu bora hata enzi za kina Muogo Mchungu, japo production ilikuwa duni ila watz tulienjoy, leo dunia ya digitally ila mnaigiza mashudu??? harafu nyie ni bure kabsa badala ya kusema mkomae ili mtoe kazi za maana mnakalia kuandamana et kazi zenu ziuzwe...acheni ukilaza!

Hebu angalieni haya madudu yenu chini hapo..na mbadilike! mkishindwa mimi mwenyewe nitaingia kazini soon niwape watz kitu roho inapenda.

-Baba na mama wote weusi tii...mtoto shombe shombe Hemed PhD.

-Mtu ana act km maskini ila kichwani katia wave na nywele kanyoa flesh kabsa mtindo wa kisasa.

- kila mmoja anataka kujichubua awe mweupe.
-huwezi kuta gari linawaka moto au hata glass imevunjika kwenye movie zenu karibu zote.
-katika movie zenu, waigizaji kuongea lazma wasubiriane, hata mnapoigiza ugomvi.
-mnapoteza muda mrefu kuonyesha kitu au mandhari ambayo hata hayana tija katika filamu husika..mfano maghorifa ya posta kwa juu, ndo imekuwa kila movie mnaonyesha.

-Ray Kigos una act km Boss flan mwenye heshima zako ila kichwani umepaka mi wave...na kuvaa madubwasha ya kung'aa ng'aa km Defao.

-sound ndo uchafu kabsa...kelele c kelele bas tu..mnapenda kuweka lile li mlio km kinada chabkanisani, mnaboa kinyama. Hiv huwa hamuangalii hata movie za nje? Au lugha shida? Sio lazma kuzielewa angalien tu mjifunze hata vitu vidogo vidogo.

- Ili movie iwe kali mnafikiria mpka iwe ya kutia huruma, majonzi au kulia lia...af story zenu hampishani sana na hadith za shigongo.
-sasa mkute Anti Ezekiel ndo jambazi...unaweza kupiga tv yako na glass..jambaz gani unabebelea bunduki mabegani km masai kabeba fimbo?

-camera position hamjui...kila kitu lazma mpige kwa mbele.
-kutana na tajiri sasa wa bongo movie...utacheka...ana booonge la nyumba hata afanani nalo...af hakuna mtu zaid ya mlinzi tu. Ambaye lazma awe chenga chenga km tahira vile.

YAANI KWA KIFUPI NYIE BONGOMOVIE, KAZI ZENU NI UTUMBO NA MADUDU NA BADO SIAMINI KM MNAUZA KWELI...WANAO ANGALIA KAZI ZENU NDO WALE WALE WA MOVIE ZA KUTAFSIRIWA KISWAHILI JAPO BORA ZILE.
 
Mleta mada unaonekana wazi sio tu Bongo Movies huifahamu lakini pia tasnia ya filamu kwa ujumla huifahamu!!!!
 
mbongo movie ni dangulo la marioo,mashoga na machangudoa lililopewa kibali na mamlaka za nchi
 
No 3 ndio baba lao..tena ungemalizia kabisa kusema 'uwezo mdogo kiakili kama bashyte'
kuna wakati huwa najiuliza wenyewe huwa wanajiangalia wanavyoigiza utumbo!
Au nawo wanakimbilia kuangalia za njee kama hawa waajiriwa wanavyowaambia wenzao wajiajiri huku wao wakiwa ni waajiriwa!
 
Nguvu ya Ajabu,
Samahani, mbio za Bashite za kufufua industry ziliishia wapi!? Je, industry imefufuka? Naomba mrejesho. Ila wanasema "Kizuri Chajiuza, kibaya chajitembeza"
 
Wanaosema kanumba kaondoka na bongomovie yake huwa siwaelewei hata!!, Yote ndio Yale,yale tu,
Hizi movies wanacheza kijinga! utadhani wote wanaoangalia ni wajinga!,

Wadada wa kazi, wamama wa nyumbani, wanaoangalia movies za kutafsiriwa ndio movies zao hizo,
Hao wasanii wa kike wanaishia kuwa malaya tu, hawapo serious hata!!

Kwani Africa tulimkosea nini mungu?

Kuheshimu cha nyumbani labda lazima, lakini sio kukipenda.
 
Back
Top Bottom