Sababu ya kukataliwa katika biblia(apokrifa)

Sababu ya kukataliwa katika biblia(apokrifa)

Vitabu vya apokrifa. Je umewahi Kusikia biblia yenye Vitabu 72?
Mkuu nitachangia lakini mada yako umeiandika bila kuweka paragraph na itawasumbua wengine kuisoma....

Unaonaje ukaiedit ili kuwapa wengine uwezo mzuri wa kuisoma?
 
we ni mvivu wa kusoma,

mi kabla sijamaliza LY,nishaisoma bible zaidi ya mara tatu kutoka ukurasa wa kwanza mpaka kule kwenye misamiati
Ila elewa biblia sio kitabu cha hadithi au gazeti la kusoma mbele kwa mbele.., maana halisi kuzipata, labda uwe baba mchungaji
 
we ni mvivu wa kusoma,

mi kabla sijamaliza LY,nishaisoma bible zaidi ya mara tatu kutoka ukurasa wa kwanza mpaka kule kwenye misamiati
[emoji23] [emoji23] [emoji23] LY ni la Saba sio
 
Mkuu nitachangia lakini mada yako umeiandika bila kuweka paragraph na itawasumbua wengine kuisoma....

Unaonaje ukaiedit ili kuwapa wengine uwezo mzuri wa kuisoma?
Sawa Mkuu nafanya Hivyo
 
Yudith anasimuliwa kuwakomboa wayahudi kutoka kwa jemedari Holo fane aliyetumwa na nebukadreza huko betulla
 
Hivi ni vitabu vya Deuterokanoni sio apocripha
.

Mkuu, kwanza nikusahihishe, halafu nitakuba elimu ya neno baada.
Hii haiandikwi apocripha, bali inaadikwa APOCRYPHA.
Vitabu vya Deotorokanoni vina maana ya "kanuni ya pili", ukiachilia vile vya kanuni ya Kwanza (Protocanon). vitabu hivi vilikataliwa na baadhi ya madhehebu, na vilinatikana katika biblia (tafsiri) ya kigiriki ya Septugiant (LXX). Vitabu hivi vimepewa maana ya appcripha, ikimaanisha vitabu vilivyokataliwa. kwa maana nyingine vitabu vya Deutorokanoni vipo ndani ya vitabu katika mkusanyiko wa Apocripha.

Hebu soma kwanza tafsiri hii halafu uje mara ya pili;

APOCRYPHA hidden, spurious, the name given to certain ancient books which found a place in the LXX. and Latin Vulgate versions of the Old Testament, and were appended to all the great translations made from them in the sixteenth century, but which have no claim to be regarded as in any sense parts of the inspired Word.

(1.) They are not once quoted by the New Testament writers, who frequently quote from the LXX. Our Lord and his apostles confirmed by their authority the ordinary Jewish canon, which was the same in all respects as we now have it.

(2.) These books were written not in Hebrew but in Greek, and during the “period of silence,” from the time of Malachi, after which oracles and direct revelations from God ceased till the Christian era.

(3.) The contents of the books themselves show that they were no part of Scripture. The Old Testament Apocrypha consists of fourteen books, the chief of which are the Books of the Maccabees (q.v.), the Books of Esdras, the Book of Wisdom, the Book of Baruch, the Book of Esther, Ecclesiasticus, Tobit, Judith, etc.

The New Testament Apocrypha consists of a very extensive literature, which bears distinct evidences of its non-apostolic origin, and is utterly unworthy of regard.
 
.

Mkuu, kwanza nikusahihishe, halafu nitakuba elimu ya neno baada.
Hii haiandikwi apocripha, bali inaadikwa APOCRYPHA.
Vitabu vya Deotorokanoni vina maana ya "kanuni ya pili", ukiachilia vile vya kanuni ya Kwanza (Protocanon). vitabu hivi vilikataliwa na baadhi ya madhehebu, na vilinatikana katika biblia (tafsiri) ya kigiriki ya Septugiant (LXX). Vitabu hivi vimepewa maana ya appcripha, ikimaanisha vitabu vilivyokataliwa. kwa maana nyingine vitabu vya Deutorokanoni vipo ndani ya vitabu katika mkusanyiko wa Apocripha.

Hebu soma kwanza tafsiri hii halafu uje mara ya pili;

APOCRYPHA hidden, spurious, the name given to certain ancient books which found a place in the LXX. and Latin Vulgate versions of the Old Testament, and were appended to all the great translations made from them in the sixteenth century, but which have no claim to be regarded as in any sense parts of the inspired Word.

(1.) They are not once quoted by the New Testament writers, who frequently quote from the LXX. Our Lord and his apostles confirmed by their authority the ordinary Jewish canon, which was the same in all respects as we now have it.

(2.) These books were written not in Hebrew but in Greek, and during the “period of silence,” from the time of Malachi, after which oracles and direct revelations from God ceased till the Christian era.

(3.) The contents of the books themselves show that they were no part of Scripture. The Old Testament Apocrypha consists of fourteen books, the chief of which are the Books of the Maccabees (q.v.), the Books of Esdras, the Book of Wisdom, the Book of Baruch, the Book of Esther, Ecclesiasticus, Tobit, Judith, etc.

The New Testament Apocrypha consists of a very extensive literature, which bears distinct evidences of its non-apostolic origin, and is utterly unworthy of regard.
Basi sawa
 
Nazani Umeelewa mkuu
Haukuwa na sababu ya kuuliza swali labda kama vidole vilikuwa vinawasha..... Umeona kabisa nimejibu basi sawa na majibu yake yote nimelike na Hata aliposema ubarikiwe nimelike... Ni ishara tosha nimeelewa ... Afu wewe kurupu nadhani umeelewa... We jamaa bana kudandia tu
 
Haukuwa na sababu ya kuuliza swali labda kama vidole vilikuwa vinawasha..... Umeona kabisa nimejibu basi sawa na majibu yake yote nimelike na Hata aliposema ubarikiwe nimelike... Ni ishara tosha nimeelewa ... Afu wewe kurupu nadhani umeelewa... We jamaa bana kudandia tu
[emoji15] [emoji15] [emoji15] Kama Ujaelewa nijazilize
 
Makabayo wa kwanza kitabu Hiki kina simulia vita ya wayahudi vita vya kupata Uhuru wa dini na siasa Yuda(Makabayo) alikuwa Kama Shujaa Mkuu muhusika mkuu
 
Vitabu vya apokrifa. Je umewahi Kusikia biblia yenye Vitabu 72? "Huu ni uvumbuzi Mkubwa watu wengi watakasirika"Habari hii inabadili historia ya ukristo wa mapema"maneno Hayo yenye kuchochea fikra yalisemwa na wasomi Fulani Walio furahi kupata maandishi ya "injili ya yuda"yaliyodhaniwa Kwamba yalikuwa ya mepotea kwa zaidi ya karne 16. Vitabu vitakatifu vya watu wa kiyahudi ambavyo havikujumuishwa kwenye katika Biblia ya waebrania . Ufunuo uliotolewa Kupitia Joseph Smith Nabii huko Kirtland Ohio Tarehe 9march1833 Alikuwa anajishughulisha na tafsiri ya agano la kale Akiwa amefika kwenye sehemu ya maandishi ya kale yaitwayo Apokrifa alimuuliza bwana(Mungu) nakupokea Maelezo ya fuatayo "Apokrifa kwa kiasi kikubwa vimetafsiriwa kwa usahihi lakini kina nyongeza na Mabadiliko yasiyo sahihi"M na M 91:1-3 "Apokrifa zaweza kuwafaa wale wenye kuongozwa na roho"M na M 91:4-6(M na M -Mafundisho na Maagano ya Kanisa la Yesu kristo la watakatifu wa siku za mwisho yenye mafunuo yaliyo tolewa kwa nabii Joseph Smith pamoja na nyongeza zilizo tolewa kwa warithi wake katika uraisi wa kanisa) Neno apokrifa linatokana na neno la kigiriki ambalo lina maanisha kuficha. Mwanzoni neno hili lilimaanisha maandishi ambayo yalisomwa na kikundi cha watu Fulani Waliokuwa na Maoni yaliyo patana na ambayo yalifichwa kutoka kwa watu ambao hawakuwa sehemu ya kikundi hicho. Baadaye neno hilo likatumiwa kamaanisha maandishi ambayo hayakuonwa kuwa katika Vitabu vya biblia vinavyo kubalika. Majina ya Vitabu vya apokrifa ni 1Tobiti 2Yudith 3lmakabayo 4IIMakabayo 5Yoshua bin sira 6Hekima ya sulemani 7Baruku UMUHIMU WA BAADHI YA VITABU. Vitabu hivi daima nivya muhimu katika kuunganisha Agano la kale na jipya na vinachukuliwa katika Kanisa kama Vitabu vya manufaa vinasaidia wanazuoni kufahamu mambo yafuatayo nini kilikuwa kinaendelea katika dini na taifa la kiyahudi katika miaka Ile ya Giza Kati ya malaki na mathayo kufahamu Mazingira ya siasa dini na Tamaduni aliyo zaliwa Yesu kujua chanzo cha Ibada za wafu katika Kanisa katoliki na viongozi Walio anzisha SABABU ZA KUKATALIWA. Havi kukubaliwa na waebrania na dini yao hata wakati Mmoja kitabu cha mapokeo ya wayahudi kinasema baada ya malaki roho mtakatfu aliondoka Israeli hii ina maana unabii au uandishi wowote baada ya malaki ulikuwa Hauna uvuvio wa Mungu maneno yaliyomo katika apokrifa haya kutajwa kwenye agano jipya wanafalsa yosefu na filo wataalamu Walio bobea katika historia ya wakati ule walivikataa Vitabu hivi havikuwa na haviko katika orodha yoyote Ile ya maandiko matakatifu kabla ya mwaka 400kk waaandishii wa Vitabu hivi hawakudai Hata Mara moja kuwa Vitabu hivi ni vya Mungu havipatikani katika mAmbo makuu ya theologia Yesu hakuwahi kunukuu katika Vitabu hivi mitume na manabii hawakuwahi kunukuu Vitabu hivi. VILIANZA LINI KUTUMIKA. Vilianza kutumiwa rasmi na Kanisa katoliki mwaka 1546Bk katika kukabiliana na matengenezo yaliyo kuwa ya kifanywa na Martin Luther na wenzake chini ya papa Paul III . Karibuni Wakuu
Nitapataje Biblia ya kiswahili yenye vitabu vya apokrifa...msaada Please[emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom