StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 4,153
- 4,301
- Thread starter
- #21
Tamaa-Upendo=Timing bomb💣Kutamani nako ni suna lakini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tamaa-Upendo=Timing bomb💣Kutamani nako ni suna lakini
Kama wa kwako umepungua badala ya kunifokea,tafakari ni nini kilichoupunguza Upendo wako Kwa mwenzako!aliyesema upendo haupungui nani ?
achaa kutufanya watoto
kiaaaaaaazi kweli kweli/jobtruetrue
Siji-Zuchu
Utakua una nyota ya utajiri wewe😁😁😊Nisipoolewa na mchaga nitalia
Unadhani kuishi na same person chini ya paa moja mnajifunika shuka moja kwa miaka 10+ ni kazi rahisi?
Utamkinai(hi) na kumchoa kabisa, ila kuna mda unaona kitu special ndani yake, ambacho kilikufanya umpende, na upendo unarudi upya...love is like a pendulum bob, it has to swing here n
Tamaa ndiyo huwa inahitaji kuboostiwa kwa kitu kipya sio Upendo. Upendo upo consistent!Unadhani kuishi na same person chini ya paa moja mnajifunika shuka moja kwa miaka 10+ ni kazi rahisi?
Utamkinai(hi) na kumchoa kabisa, ila kuna mda unaona kitu special ndani yake, ambacho kilikufanya umpende, na upendo unarudi upya...love is like a pendulum bob, it has to swing here n there.
Hoja nzuri ila ulipoingiza shetani na jehanam ndio imeharibikia hapo.Unakuta mkeo ni mrembo na ni mtu mwema sana kwako hadi raia mtaani wanatamani wakupore lakini cha ajabu wewe mwenye Mke mwenyewe umeshamkinai mtoto wa watu kitambo. (Hapa ndipo shetani anapojichukuliaga point 3 muhimu katika mkakati wake wa kuzivamia na kuzivuruga ndoa nyingi).
Sasa basi,kwa kuwa Mimi Student Teacher kwa asili siyo mchoyo wa Maarifa ngoja nikupe sababu ya wewe kumkinai mkeo licha ya urembo na wema wake kwako.
Umemkinai Kwa sababu tangu mwanzo ulimuoa kwa kusukumwa na tamaa za mwili wako tu pasi na Upendo.
Kumbuka tamaa yoyote ile ina kawaida ya kuexpire. Kitu kama hauna unatamani sana kukipata,na ukikikipata pole pole unaanza kukizoea hatimaye kukikinai kabisa. Kinakuwa hakikusisimui tena(Hapa ndipo shetani anapatumia sana kuijaza Jehanamu). Na anaijaza sana tu!
Upendo hauchuji,hauchachi wala kuexpire.
Muwe na siku njema🤝
Kuna memories ambazo watu hawataki zipotee. Kadri mnavyoishi miaka mingi na matukuo mazuri yakawa mengi kuliko matukio mabaya ndivyo kuachana kunavyokuwa kugumu.Ingekua watu wanaoa kwa kuangalia upendo wa kweli, hapa nchini ndoa zingekua hazizidi nne kwa mwaka.