Sababu ya kumkinai mkeo

Sababu ya kumkinai mkeo

Unadhani kuishi na same person chini ya paa moja mnajifunika shuka moja kwa miaka 10+ ni kazi rahisi?

Utamkinai(hi) na kumchoa kabisa, ila kuna mda unaona kitu special ndani yake, ambacho kilikufanya umpende, na upendo unarudi upya...love is like a pendulum bob, it has to swing here n there.
 
Wengi sisi wanaume huwakinaibwake zetu kwa sababu ya kutuzoea zoea mpaka HESHIMA hushusha baada ya ndoa
Kujiremba huwa ndo mwisho tena mtu anakaa na makanga kama yupo msibani
 
Unadhani kuishi na same person chini ya paa moja mnajifunika shuka moja kwa miaka 10+ ni kazi rahisi?

Utamkinai(hi) na kumchoa kabisa, ila kuna mda unaona kitu special ndani yake, ambacho kilikufanya umpende, na upendo unarudi upya...love is like a pendulum bob, it has to swing here n

Unadhani kuishi na same person chini ya paa moja mnajifunika shuka moja kwa miaka 10+ ni kazi rahisi?

Utamkinai(hi) na kumchoa kabisa, ila kuna mda unaona kitu special ndani yake, ambacho kilikufanya umpende, na upendo unarudi upya...love is like a pendulum bob, it has to swing here n there.
Tamaa ndiyo huwa inahitaji kuboostiwa kwa kitu kipya sio Upendo. Upendo upo consistent!
 
Unakuta mkeo ni mrembo na ni mtu mwema sana kwako hadi raia mtaani wanatamani wakupore lakini cha ajabu wewe mwenye Mke mwenyewe umeshamkinai mtoto wa watu kitambo. (Hapa ndipo shetani anapojichukuliaga point 3 muhimu katika mkakati wake wa kuzivamia na kuzivuruga ndoa nyingi).

Sasa basi,kwa kuwa Mimi Student Teacher kwa asili siyo mchoyo wa Maarifa ngoja nikupe sababu ya wewe kumkinai mkeo licha ya urembo na wema wake kwako.

Umemkinai Kwa sababu tangu mwanzo ulimuoa kwa kusukumwa na tamaa za mwili wako tu pasi na Upendo.

Kumbuka tamaa yoyote ile ina kawaida ya kuexpire. Kitu kama hauna unatamani sana kukipata,na ukikikipata pole pole unaanza kukizoea hatimaye kukikinai kabisa. Kinakuwa hakikusisimui tena(Hapa ndipo shetani anapatumia sana kuijaza Jehanamu). Na anaijaza sana tu!

Upendo hauchuji,hauchachi wala kuexpire.

Muwe na siku njema🤝
Hoja nzuri ila ulipoingiza shetani na jehanam ndio imeharibikia hapo.
 
Back
Top Bottom