StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 4,153
- 4,301
- Thread starter
- #41
Kutokuamini hakuwezi kukiondoa kilichopo hata kama hakionekaniHoja nzuri ila ulipoingiza shetani na jehanam ndio imeharibikia hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutokuamini hakuwezi kukiondoa kilichopo hata kama hakionekaniHoja nzuri ila ulipoingiza shetani na jehanam ndio imeharibikia hapo.
Soma tena paragraph ya tatu kutoka juu ndugu.Tutawezaje bila kutamani
Aliyeachwa awe na wake 1000 akijaribu kuishibisha tamaa ya nafsi yake mwishowe yeye mwenyewe alikiri kwamba yote ni ubatili na kulijisha upepo!Mke mmoja anadumaza akili na hisia
Unaanzaje kujikinai wewe mwenyewe, by the way who cares?Pole sana...
Mimi sijawahi kumkinai Mahondaw
And vise versa is totally true on women sides.Mke mmoja anadumaza akili na hisia
fafanuaUpendo hauchuji,hauchachi wala kuexpire
Evelyn Salt njoo huku unaitwa!Unakuta mkeo ni mrembo na ni mtu mwema sana kwako hadi raia mtaani wanatamani wakupore lakini cha ajabu wewe mwenye Mke mwenyewe umeshamkinai mtoto wa watu kitambo. (Hapa ndipo shetani anapojichukuliaga point 3 muhimu katika mkakati wake wa kuzivamia na kuzivuruga ndoa nyingi).
Sasa basi,kwa kuwa Mimi Student Teacher kwa asili siyo mchoyo wa Maarifa ngoja nikupe sababu ya wewe kumkinai mkeo licha ya urembo na wema wake kwako.
Umemkinai Kwa sababu tangu mwanzo ulimuoa kwa kusukumwa na tamaa za mwili wako tu pasi na Upendo.
Kumbuka tamaa yoyote ile ina kawaida ya kuexpire. Kitu kama hauna unatamani sana kukipata,na ukikikipata pole pole unaanza kukizoea hatimaye kukikinai kabisa. Kinakuwa hakikusisimui tena(Hapa ndipo shetani anapatumia sana kuijaza Jehanamu). Na anaijaza sana tu!
Upendo hauchuji,hauchachi wala kuexpire.
Muwe na siku njema🤝
Upendo unapoa, tena usipojitahidi upendo unakufa kabisa!!Tamaa ndiyo huwa inahitaji kuboostiwa kwa kitu kipya sio Upendo. Upendo upo consistent!
Great thinkers ilikuwa zamani saivi hii ni kama Facebook tuBandiko la hivi kwa great thinkers unapaswa kuweka nn sasa kifanyike.. endelea kujifunza uandishi mzuri wenye tija
Upendo unathamini mtu vile alivyo kwa mwendelezo na sio kama saa ya kimulimuli.fafanua
Upendo hauhitaji jitihada zozote kuflow bali unaflow naturally. Ulichokitaja hapo ni tabia na kawaida ya tamaa sio Upendo. Jipe muda utafakari zaidiUpendo unapoa, tena usipojitahidi upendo unakufa kabisa!!
Na wao wafanye mazoezi hasa ya matumbo, nilikuchukua namba 8 umejisahau umefutukaa kisa access ya kula unachotaka unapojiskia
Kingine mdomo, hakuna mwanamke anachosha chap kama type za Zai Kijiwe No
Upendo huwa unapenda nafsi ya mtu kwa ujumla wake na sio mwili wake pekee(Zingatia kwamba mabadiliko ya kimwili hayaepukiki ingawa yanaweza kupunguzwa au kucheleweshwa).Na wao wafanye mazoezi hasa ya matumbo, nilikuchukua namba 8 umejisahau umefutukaa kisa access ya kula unachotaka unapojiskia
Kingine mdomo, hakuna mwanamke anachosha chap kama type za Zai Kijiwe Nongwa
Kinazuilika kwa kuwa na UpendoHakuna kitu kibaya kama hcho lakin sasa kukizuia kisitokee ndo mtihani,
Inatakiwa wife akupige tukio la kufa mtu ili akili ikae sawa nahisi pia na upendo utarudi.Unakuta mkeo ni mrembo na ni mtu mwema sana kwako hadi raia mtaani wanatamani wakupore lakini cha ajabu wewe mwenye Mke mwenyewe umeshamkinai mtoto wa watu kitambo. (Hapa ndipo shetani anapojichukuliaga point 3 muhimu katika mkakati wake wa kuzivamia na kuzivuruga ndoa nyingi).
Sasa basi,kwa kuwa Mimi Student Teacher kwa asili siyo mchoyo wa Maarifa ngoja nikupe sababu ya wewe kumkinai mkeo licha ya urembo na wema wake kwako.
Umemkinai Kwa sababu tangu mwanzo ulimuoa kwa kusukumwa na tamaa za mwili wako tu pasi na Upendo.
Kumbuka tamaa yoyote ile ina kawaida ya kuexpire. Kitu kama hauna unatamani sana kukipata,na ukikikipata pole pole unaanza kukizoea hatimaye kukikinai kabisa. Kinakuwa hakikusisimui tena(Hapa ndipo shetani anapatumia sana kuijaza Jehanamu). Na anaijaza sana tu!
Upendo hauchuji,hauchachi wala kuexpire.
Muwe na siku njema🤝