Sababu ya kumkinai mkeo

Na wao wafanye mazoezi hasa ya matumbo, nilikuchukua namba 8 umejisahau umefutukaa kisa access ya kula unachotaka unapojiskia

Kingine mdomo, hakuna mwanamke anachosha chap kama type za Zai Kijiwe Nongwa
 
Evelyn Salt njoo huku unaitwa!
 
Bandiko la hivi kwa great thinkers unapaswa kuweka nn sasa kifanyike.. endelea kujifunza uandishi mzuri wenye tija
Great thinkers ilikuwa zamani saivi hii ni kama Facebook tu
 
Upendo unathamini mtu vile alivyo kwa mwendelezo na sio kama saa ya kimulimuli.
Upendo hauna ubinafsi(selfless)
Upendo hauwazi mabaya
Upendo husitiri madhaifu
Upendo haufurahii udhalimu(haufugi uhuni wa aina yoyote) bali husimama upande wa haki
Upendo unashiba na kutosheka

Kinyume chake ndiyo inaitwa tamaa

Tamaa hujiwaza yenyewe tu(selfish)
Tamaa huwaka ghafla kisha baada ya muda hufifia na kuzimika kabisa(Haina mwendelezo).
Tamaa haijawahi kushiba wala kutosheka

Wengi wanachanganya kati ya Upendo na Tamaa
 
Upendo unapoa, tena usipojitahidi upendo unakufa kabisa!!
Upendo hauhitaji jitihada zozote kuflow bali unaflow naturally. Ulichokitaja hapo ni tabia na kawaida ya tamaa sio Upendo. Jipe muda utafakari zaidi
 
Na wao wafanye mazoezi hasa ya matumbo, nilikuchukua namba 8 umejisahau umefutukaa kisa access ya kula unachotaka unapojiskia

Kingine mdomo, hakuna mwanamke anachosha chap kama type za Zai Kijiwe No

Na wao wafanye mazoezi hasa ya matumbo, nilikuchukua namba 8 umejisahau umefutukaa kisa access ya kula unachotaka unapojiskia

Kingine mdomo, hakuna mwanamke anachosha chap kama type za Zai Kijiwe Nongwa
Upendo huwa unapenda nafsi ya mtu kwa ujumla wake na sio mwili wake pekee(Zingatia kwamba mabadiliko ya kimwili hayaepukiki ingawa yanaweza kupunguzwa au kucheleweshwa).
 
Inatakiwa wife akupige tukio la kufa mtu ili akili ikae sawa nahisi pia na upendo utarudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…