YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
Kaa kanyaboya hivi π ππππMke wangu anatabia ya kunipiga kwenye kende kama tuna ugomvi
Nilimwambia siku akirudia ataipata freshi
kende zinauuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaa kanyaboya hivi π ππππMke wangu anatabia ya kunipiga kwenye kende kama tuna ugomvi
Nilimwambia siku akirudia ataipata freshi
kende zinauuma
Ila kweli aisee....nyie wanawake mko na sehemu yenu yapekee peponi...kuzaa pekee ni baraka kubwaAnajiendekeza tu huyu, tupumbu twenyewe tulaini vile tuna maumivu gani? Uchungu unauma nyie.
Usiambiwe, hakuna maumivu ya kufananisha na uchungu, nakumbuka Ile siku niliomba niitiwe mama yangu, nikamwambia kama kuna kosa nilimkosea anisamehe maana nilikuwa najiona nakufa.Ila kweli aisee....nyie wanawake mko na sehemu yenu yapekee peponi...kuzaa pekee ni baraka kubwa
Pole...ndo maana wanaume inakuwa vizuri kuwepo wakati wake zetu wakijifungua...bcoz maybe italeta huruma kwa mkeo ikikumbuka alivyoteseka kwa maumivu akijifunguaUsiambiwe, hakuna maumivu ya kufananisha na uchungu, nakumbuka Ile siku niliomba niitiwe mama yangu, nikamwambia kama kuna kosa nilimkosea anisamehe maana nilikuwa najiona nakufa.
Watakuja kuuanaπππPole sana kiongozi...sema for the sake of defence mwanamke anashauriwa a target eneo hilo...tena apige haswa akikishe mwanaume hanyanyuki...so labda mkeo amelijua hilo π
πππkuna siku nilimtandika makofi akanguka chini kweny kunyanyuka si akazikamata na kuanza kubinya.
Nilipiga kelele na kulia kama paka.
Sitosahau ile siku
Azae kwanza ndio aje hapa atuelezee huo ujinga.Anajiendekeza tu huyu, tupumbu twenyewe tulaini vile tuna maumivu gani? Uchungu unauma nyie.
Kwa kweli aiseee....bibie kajua ujanja ni kukimbilia kwenye balls...ili amalize pambano mapema (KO)πWatakuja kuuanaπππ
Tulaini sawa ila madhara yake ni mazitoAnajiendekeza tu huyu, tupumbu twenyewe tulaini vile tuna maumivu gani? Uchungu unauma nyie.
π€£π€£π€£ Ndo mfananishe na uchungu unaouma masaa 6 non stopTulaini sawa ila madhara yake ni mazito
Sorry jina yako inanikumbusha I had a girlfriend alipenda nimuite Katoto...so you remind me of her...okay Atoto I was joking sikua serious kwenye hiloAzae kwanza ndio aje hapa atuelezee huo ujinga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anajiendekeza tu huyu, tupumbu twenyewe tulaini vile tuna maumivu gani? Uchungu unauma nyie.
mpaka kisogoni! Shock ya umeme ikosomePumbu aumivu yake hadi kiunoni hadi tumboni
Ni noma asee ππ , me pia kuna siku nusu ni dhalilike kwenye umati wa watu, manzi niliye kuwa nae tulitofautiana kidogo si akaniwahi huko weee acha tu yani ππππ Umenikumbusha mbali sana. Wakati naanza kubalehe nikamvimbia housegirl na kumchapa kofi. Asee aliniwai anivuta mbupu na aachii nilipiga mayowe mpaka majirani walikuja kumuomba aniachie