Mkuu! Security sio Lazima iwe financially, and that's where you girls got it wrong. Nyie mwajua mtu akiwa na pesa basi ushakua secured.unaweza kuwa sahihi ila ni kweli wanawake huangalia vitu hivyo,security kama haipo usidhanie atakaa kwako,labda anaweza asitamke wazi,ila nature ndio inaamua hivyo lol
Hahahaha you are right! Wame-adopt. sasa Fanya kila mwanamke ana mentality yako (yaani anasubiri ku-adopt)....Dunia itakua kichekesho.wala sirekebishi mkuu,nimeona wadada waki adopt watoto yatima kutoka vituoni.
Unauza sh ngapi
Miss Natafuta. Basi nisamehe..sikudhani kama utaichukulia serious sana hii post yangu.
Umabadilika lini na kuanza kukasirika post za kukutania?
Basi jamani sitakutania tena.. Just forget .. Sikupanga kuku offend... Kinda of funny only. Anyway sor
Ukisugua Chuma kwa Chuma vyote hulika na sio kimoja pekee! Shida ni kwamba wanawake mnafikiri mna-loose peke yenu katika mahusiano/tendo,ukweli ni kwamba wote tunatumika na kupoteza au kufaidika.Naam kwanini unifuje burebure et kisa mapenzi?!
Madilido kwenye pochi mpaka basi.unawaza wanaume miaka hii? to hell with their useless penis!
mhunawaza wanaume miaka hii? to hell with their useless penis!
Hello JF,
Kuna imani kuwa baadhi yetu wanawake tunapenda pesa na hatuna mapenzi ya kweli, leo nimeona mahali, ufafanuzi wake, lol. Ni kwamba as a society, tumeweka tabaka wanawake wabaki nyumbani kutunza familia.
Hii hali imefanya wanawake wawe tegemezi, wasio na hela wala power, so katika kujenga familia tunatafuta security! Mtu mwenye hela na power ndio anaonekana anafaa kuwa naye.
*** Hii haiwahusu wadada wa JF πππ
unawaza wanaume miaka hii? to hell with their useless penis!
Ni kweli sina hadhi ya kununua papuchi yako kwasababu una hedhi ...silagi papuchi chafu Mimi...nsije nkashusha thamani yanguHadhi ya kuninunua hauna! wenye nayo hawaniulizi bei sababu rate wanaijua
Ni kweli sina hadhi ya kununua papuchi yako kwasababu una hedhi ...silagi papuchi chafu Mimi...nsije nkashusha thamani yangu
Cool down mamaHeheheiyaaa... "sizitaki mbichi hizi" bei ulikua unaulizia ya nini na unaijua iko kwa hedhi na uchafu wake
Mwanamke aina hiyo hafai hata kuitwa mke.Na kibaya zaidi unakuta mkeo ( Mwenye kipato kizuri tu ) ananua vitu kama viwanja na kujenga bila hata kukushirikisha, Na kama mna watoto ndo basi tena hata kama wamefukuzwa ADA Hatoi pesa mpaka baba yao ATOE
- Binafsi huwa nikishuhudia ndoa za watu zilivyo unakosa mood kabisa
Hiyo dada mimi nahisi kuna siku tutapata taarifa humu kuwa amechinja mwanaume.Sio single mother namfahamu.
Comment zake has something to do with her zero.
Lazima kuna jitu limemtenda dada yangu.
Ana hasira sanaaa.
Naanza kumtafutia mtu amfanyie kanselingi