nyocksie
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 406
- 265
Mkuu! Security sio Lazima iwe financially, and that's where you girls got it wrong. Nyie mwajua mtu akiwa na pesa basi ushakua secured.unaweza kuwa sahihi ila ni kweli wanawake huangalia vitu hivyo,security kama haipo usidhanie atakaa kwako,labda anaweza asitamke wazi,ila nature ndio inaamua hivyo lol