Sababu ya kwanini wanawake tunaonekana tunapenda pesa

Sababu ya kwanini wanawake tunaonekana tunapenda pesa

Na kibaya zaidi unakuta mkeo ( Mwenye kipato kizuri tu ) ananua vitu kama viwanja na kujenga bila hata kukushirikisha, Na kama mna watoto ndo basi tena hata kama wamefukuzwa ADA Hatoi pesa mpaka baba yao ATOE

- Binafsi huwa nikishuhudia ndoa za watu zilivyo unakosa mood kabisa

-mie nilijua ni wanawake wachache,ila kwa mtazamo wa michango ya wanaume kwenye hii thread,inaelekea labda wanawake ndio tulivyo,ndio nature hivooooo hahahhahah don't work against nature lol,mbona there is considerable debate kuwa wanaume wameumbwa kuwa na wanawake wengi,na sisi ndiio hivyo.lol
 
Wanaume ukiwa na pesa mpe ale, avae, asuke aishi vizuri anavyotaka. Acheni ubaili, mkiwa hamna pesa mnachonga saaaaaana kama huna pesa za kumpa ili aishi vizuri na ale vizuri pita hivi huna lolote
wewe ni kidume ama? unasaka ujiko ee?
 
Wanawake mabahili sana bora asiye na kipato
Tena ni balaa - Mwanaume TAJIRI Kama MENGI anaweza kuishi kwa Amani kabisa na Furaha, Na Mwanamke wa DARASA LA SABA Lakini ikiwa ViceVersa Mwanaume atajuta - Na hii NGUVU aliyo nayo MWANAUME katika Jamii basi WANAUME WANGEPITIA MATESO MAKALII, KUJUTA NA KUKIMBIA DUNIA HII
 
Ah! kwa usawa huu acha tu nionekane napenda pesa
Hakuna freeP in the name of love
 
Back
Top Bottom